Napata sms inayosema kuna mabomu yametupwa tz kutoka malawi na rwanda hivyo wanainchi tuwe makini tukiona kitu ambacho
kina fanana na chupa ya chai tulipe taarifa Jwtz na no ya simu imewekwa.
Napata shaka je jeshi lomekuwa dhaifu kiasi hiki?au uzushi?
Deusi kibamba na mwenzako hapo nawapa big up ila nawaonea huruma hao walengwa wanaweza wang'oa meno maana ukweli unauma!
Umelichambua vyema bunge hili la mitusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.