Habari zenu ndugu wa mmu,
Ni hivi nmebahatika kuoa na kupata babyboy moja.Nmedumu kwenye ndoa miaka 3 na mke wangu.
Nmeishi na mke wangu kwa upendo na furaha.Miezi mitatu iliyopita mke wangu alienda Kwao Mwanza,maana tangia nimuoe hajafika huko.Sasa alivyorudi amebadilika kila kitu kuanzisha...
Wakuu habari zenu.Jamani mwenye kuijua hio gari au kuitumia anipe ubora wake.fuel consumption ikoje naona ina cc2490.spare etc nataka ushauri kabla ya kuagiza jp
Wadau,
Tafadhali kama kuna mdau aliefika Egypt ama ana information zinazohusika anisaidie. Viza zake zinasumbua kupatikana? Gharama za air ticket, hoteli, chakula makadirio ni kiasi gani?
Vipi hali ya machafuko katika nchi hiyo? Kuna usalama nikiwa uko? Kuna ubaguzi?
Nina hamu na nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.