Kuna jamaa yangu yupo Dodoma alikuwa na mtoto Marangu sekondari Moshi sasa akapata changamoto ya ada baada ya mwanae mwingine kuugua mpaka kufanyiwa upasuaji. Huyu Dogo mwanafunzi alishasajiliwa kufanya mtihani wa form two lakini hakufanya kutokana na kushindwa kulipa ada .
Mwaka huu baba...
Wakuu ni mwezi sasa unaisha sijapata control number ya kufanya malipo kuunganishiwa maji, wadai mtandao TTCL upo down jambo hili linashangaza sana kwa kampuni kubwa kama DAWASA
Kama wahusika mpo fuatalieni, msilazimishe kampuni kukaa kwenye mtandao mmoja ambao tija yake ipo chini kisa tu ni wa...
Kuna dogo alipata div 3 form four ila kwenye combination HGK yake alipata CBC. Sasa amechaguliwa chuo cha mipango Dodoma certificate ya mipango.
Sasa amefika nyumbani akiniuliza kama Tamisemi wanaweza kubalishia akapata shule ya kidato cha tano. Uwezo wake ni mdogo hawezi kumudu gharama za...
Mwanangu ana allergy ya milk fomula yenye maziwa ya ngombe skimmed cow milk na soy milk formula wadau natumia maziwa gani?. Au anaweza kushinda na vyakula mpaka Mama yake aje anyonyeshe saa 10 jion maana Mama yake anaondoka asbh sana.
Umri miezi 9.
Wakuu naomba kuuliza Jana nimefunga meter ya Maji baada ya kuchukua bomba toka kwa jirani yangu nyumba anaishi kijana tu sasa tumeamka asbh meter inasoma unit moja wakati jana tulichota ndoo mbili tu
natafuta kijana atakuwa anakaa kwenye kijiwe cha kaka yangu ana duka ila machine ya kuchomea ipo tu haitumiki, kaz ikija basi anafanya tutakubaliana tutavyogawana . Kama yupo interested aje PM
Habari wadau naomba msaada mke wangu anasumbuliwa na PCOS Ni mwaka wa tano sasa anaweza vidonge bila mafanikio katika hospital tofauti.
Naomba mwenye experience na hili tatizo, Je opesheni inaweza kuwa ndio suluhisho la hili tatizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.