Jamani nimekutana na tatizo moja dogo, nime design website yangu nikaweka radius corners/curves nimetest kwenye firefox imekubali lakini kwenye IE imekataa ninasuluhisha vipi hapo?
Nina laptop (Win 7 home premium) hapa alikuwa anaitumia mdogo wangu, sasa ikaanza kustack tu bila sababu. sasa nataka kubadilisha OS installation nayo inagoma ikifika kwenye expanding files inagomea hapo. Nifanyeje?
Wapendwa, mbele yenu ni dada mjasiriamali na mtanzania,
Natafuta tenda kutengeneza website.
Natumia asp, phpmysql na xml.
Naweza kutengeneza database driven website, kama forum, newsboards, chatboard nk.
Kama kuna yeyoye anayehitaji please
Pia ni mzuri kwenye kutengeneza database.
email...
Za leo! Za saa hizi,!
Jamani mwenzenu hata sielewi tunakoelelea, hivi kama kweli Tanzania kuna mgodi (sijui ndio mgodi au nimekosea) wa gesi asili (sijui nimepatia?) inakuwaje tunakosa umeme?
Au kama kweli Tanzania ina mazingira yanayofaa kutengenza umeme wa upepo jamani inakuwaje kweli...
Wajameni watanzania wenzangu, Mimi ni kijana wenu natafuta kazi.
Nina advanced diploma ya sayansi ya kompyuta. (Advance diploma in Computer science).
Niko tayari kufanya kazi yoyote ndani ya fani yangu. Lakini ni mzuri zaidi kwenye software engineering(database design, web development n.k)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.