Kwa akili yako unafikiri manufaa na athari za miradi ya ujenzi na teknolojia inapimwa kwa siasa za "uzalendo"? Subiri taarifa za M&E zifanywe - kama zitafanyika kama inavyotakiwa - hapo baadaye ndipo utandaze mipasho kwa nafasi yako. Hii ni kama serikali iko makini na utendaji wa mradi huo...
Yeah, ni “lazima” kama wanaoumia ni “wengine”.
Ni kauli ya kawaida katika tawala za kidikteta na kikomunisti. Kuna ambao hujiteua kuwatoa wenzao “kafara” nje ya taratibu za kikatiba na kisheria kwa kisingizio cha “kuleta au kuchochea maendeleo”.
Very unfortunately, binadamu kwa asili si kiumbe...
Rais wa JMT ndio kila kitu. Ni Alfa na Omega. (Huyo si Rais wa USA). Mihimili mingine yote na watumishi wake inatekeleza maamuzi yake. Ana final say kwenye kila kitu.
Serikali yake ndiyo inayopeleka miswada ya sheria bungeni ambayo LAZIMA ipitishwe anavyotaka yeye kisha aisaini. Hata ruzuku kwa...
Sawa. Hakika hakuna mkate mgumu mbele ya rungu la dola na fursa zake.
JK alikuwa na haya (soni) akitegemea “maneno” matupu yataiheshimisha CCM. Huko vijijini kanga, t-shirt, magauni na mashati ya kijani yanavaliwa tangu zamani kama “Sunday best.” Vazı la kutokelezea kwenye dhifa maalum...
Sawa. Kiasi nimekuelewa. Ingawa common wisdom inaniambia hakuna mtu mwenye utendaji bora anayebana vyombo vya habari visiandike habari za kazi zake kiasi cha kutesa na kotowesha baadhi yao.
Kwangu mimi huu mjadala wa kuangalia nani alikuwa nafuu kwa hawa viongozi wa CCM hauna maana. Hakuna cha...
Hoja ya ajabu sana hii. Yaani JPM kwa kuiba, kupora, kutesa na kuua wakosoaji wazi wazi (juu ya kapeti) basi anakuwa Rais bora sana kwa vile alikuwa transparent; hakuwa mnafiki kama hawa wengine!
Kama hayo ndio machaguo yaliyobakia kwa Watanzania chini ya CCM basi CCM ni msiba mkubwa sana wa...
Ndiyo CCM hiyo. Na kila awamu ina watetezi wake wasio na haya wala kuona ubaya wake.
Lishakuwa jinamizi lenye sura na maumbo tofauti tofauti. Wanaokosoa mauaji ya Mwangosi, bomu Arusha (CDM) na mauaji Zanzibar (CUF/ACT) hawaoni ubaya kwa yaliyowapata kina Lissu, Akwilina, Lwajabe, na Gwanda...
Sawa. Endelea kusifia na kushabikia. Bila Shaka wako wanaokuelewa.
Btw mimi sio nyumbu wala mtu wa kuteseka. My world is quite different. Namna yako ya kufikiri ni tofauti sana na yangu.
Very idealistic.
Kuamini kuwa tiba ya majizi na mafisadi ni elimu; kwamba wakielimishwa kuhusu “ubaya” wa wizi, rushwa, ufisadi basi wataacha na kuwa raia wema hiyo ndiyo inahitaji elimu.
Uzalendo ni neno la propaganda; halina uhalisia katika dunia halisi.
Nyerere aliambiwa na Wachina...
Duh mkuu unatarajia Mbowe apimwe na kulinganishwa na Samia kwa “kujenga” barabara za taifa na mikoa? Seriously?
Halafu unaamini kwamba Rais anasifiwa kwa “kujenga” barabara na miradi mingine ya kitaifa ya miundombinu nchini?
I thought you were above that feeble mindset of those illiterate...
Pipe dream. Ufisadi haujawahi kuisha wala kupungua ndani ya serikali ya CCM. Kinachobadilika ni makundi yanayonufaika na style ya upigaji. Wenyewe wanapashana “kutesa kwa zamu” na “kuimba kupokezana”.
Awamu za 2,3 na 4 ufisadi ulikuwa kwa janja ya kucheza na sera, sheria na mikataba. Walikuwa...
Kichwa cha mada ni tofauti na maelezo ya mada.
Hapa unalalamika kuhusu serikali kushindwa kutimiza wajibu wake kwa hospitali kuhusu bima ya NHIF. Badala yake siasa (propaganda) inatumika kulaumu hospitali kwa kugoma kuhudumia wagonjwa bila kujali suala la malipo. Kwamba hospitali ziwe na “utu”...
Mkuu Erythrocyte, pamoja na yote unayojitahidi kueleza hapa, elewa kuwa viongozi wa Afrika wanafanana na wanajuana sana. Usifikiri Kikwete anapewa majukumu kwa bahati mbaya. Kwamba “hawamjui”! Hizo spana huko nje hakuna anayezijali.
Mkapa alishawahi kukiri kwa jeuri katika mahojiano na media...
Relax man. Usiwe serious sana na hicho kibarua all the time. Usijepata degedege bure. Sugu asili yake hip hop. Kwao swaga ni jadi. No malice to nobody, he means.
Naona wewe unaweza tiririsha politiki hata kwenye gauni la harusi la madame wa manara. Take it easy, smooth, nigga. Ushindi ni wenu tu.
Kweli ushambwa mzigo. Si kila wakati ni wa politiki. Unasaka kiki hadi kwenye swaga za Sugu? Hapo ulitakiwa ucheke na wewe kuweka kijembe cha ki-UWT-CCM kujibu mapigo.
Yote sawa. Lakini jiulize, kama kufa ni kufa tu na si adhabu, yule jamaa kwanini alikuwa akiagiza wanaompinga na kumkosoa wauwawe? Alishasema “msaliti” hawezi kuachwa a-survive tu!
Jiulize inakuwaje kwenye mfumo wetu wa sheria kuna hukumu ya kifo kama adhabu na katika vitabu vya dini kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.