Wananzengo
Zimbabwe wame tangaza sarafu yao mpya kureplace pesa yao iliyopoteza thamani kwa 80 asilimia,
Sarafu hii ni ya kidigital pia inapewa thamani na gold.
Hadi sasa Zig 100 ni sawa na usd 10 na point.
Je, watajikwamua?
====
Zimbabwe’s new currency, the ZiG, strengthened a day...
Wakuu,
Hakuna kitu nakerereka kama kutembea kila mita kumi nakutana na chupa ya Mo energy imezagaa hakuna dalili kwamba itaenda popote.
Kwanini nisione chupa ingine kama ya maji ya azam au hill au kilimanjaro, hata ikionekana kwa bahati mbaya basi ukirudi hutoikuta hii ndo inatakiwa.
Sasa Mo...
Nawasalimu kwa jina la Dp
Ipo hivi hawa wavulana wanaolia lia mbele za wanawake wanatuzalilisha sana, Mwanaume hutakiw kuwa dhaifu mbele ya kiumbe cha kike hata awe na uzuri wa aina gani
Hutakiwi kumuhofia hata kidogo hakikisha tu upo smart mwilini na akili mfukoni pia ila sio muhimu...
Mliopo maeneo ya Ubungo na Kimara kibo, tupeni update ya hapo maana wengine wanakimbilia hatari.
===
Lori linalosafirisha Mafuta limepinduka na kusababisha Moto mkubwa katika maeneo ya Ubungo jirani na Kituo cha Mabasi Yaendayo Kasi cha Kibo jijini Dares Salaam.
Jeshi la Zimamoto limefika...
Wakuu, yani wadada kusikia utabiri wa hali ya hewa kwamba maeneo ya pwani kutakuwa na upepo mkali wa wastani na mawimbi ya bahari kufikia hadi mita 2 ,
Basi wameamua kuvaa nguo fupi alafu nyepesi kwa makusudi alafu unakuta ndani vichupi tu no skin tight, ni mimi tu sijui nawaona huku mjini...
Wakuuuu kwa anayeweza kutoa msaada au connection ya kazi ya udereva.
Namwombea baba yangu. Ana leseni class D, E, G ni mzoefu wa magari miaka mingi.
Mwenye connection au maelekezo naomba msaada nimtupie mzee taulo, shukrani.
Wakuu, nina mdogo angu age 18 kamaliza four mwaka huu, bila shaka hatoweza pata maksi za kwendelea. Sasa ni kozi gani ambayo itamsaidia mbeleni uko hata kwa kujiajiri.
Ya kwanza napendekeza udereva, ila ningetaka kujua na nyingine ambayo haitopitwa na wakati maana maendeleo haya ya sayansi...
Wakuu,
Mwenye kweza msaidia mzee wangu huyu akapate mkate wake wa kila siku ,amepata pa kujishikiza ila anahitaji wadhamnini wawili mmoja mfanya kazi serikalini na mwingine kawaida
Huyu wa kawaida yupo kipengele icho cha wa serikalini, mwenye kuweza kumsaidia anaweza ni Pm
Wakuu,
Huyu mjamaa ana ofisi mahala ya duka, walikuja watu wakamwomba waweke mali zao wanakuja zipitia
Mali zikawekwa nje zina samani ya laki 7 zikapotea ambapo aliechiwa alipata dhArula
Je, anawajibika kulipa mahakamani mad
Wakuu ndugu zangu
Ni kwa yale maneno ambayo mwanaume anachomekea kama masikhara, mfano ktk kazi.
Unafanya kazi ya boda mwanamke kashuka kwene chombo, unafanya kama umeshika kiti pale alipo kaa alaf wajisemea akiwa anakusikia aisee nusu kiti kiunguwe inalekea nanii ako ni so hot, akicheka cheka...
Sirjeff Dennis, CEO Exxon is the influencing leader behind the booming investing mania in Tanzania and East Africa. He started his entrepreneurship career at the tender age of 17 years and found himself fortunate enough to receive significant exposure to global opportunities that helped him...
wakuu
hakuna kitu kizuri kama tabasamu katika uso wa binadamu
uzi huu ktk coment weka line ambayo mtu akisoma atatabasamu
au aki pick up line akamtumia mtu lazima atabasamu
lugha yoyote
mfano
' hakuna kitu kingine cha gharama ninachokipata buree kama upendo wako, Nahisi umemwambia Mwenyezi...
Nina shida ya kizunguzungu kisichoisha na kujihisi mwili mwepesi sipati usingizi yani ovyo ovyo nimetumia dawa mpaka nimechokoka sioni kupona hata kidogo
Wasalaam
Nilikuwa nadiscuss na dada angu wa faida kuhusu kuanzisha platform ya kuakutanisha watu wenye vipato mbali mbali hasa kipato cha kati na chini ,ila wana uhakika wa kipato hata kiduchu na ni waaminifu,
Hii platform itaenda na wakati mtu akijisajili anajisajili na details zake ikiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.