Yes, kijana tafuta stable income kwanza pata pesa weka akiba then ndo ufikirie kutafuta mwenza ambae mtapanga chumba pamoja nasisitiza sio aje kwako una kila kitu hiivsio vyema
Mtafute mwenza nunuei kuanzia kijiko adi mashuka mtafurahia
Hao warundi na warwanda yani hapa atapata hifadhi nzuri mcolombia au mnigeria alietoka uko ukimbizini sio majirani anatakiwa kuhifadhiwa anaetoka mbali jirani ajipambanie na kwake afe kwa ajili y mwanae anaetoka mbali atasaidiwa
Shikamoo nyokoo mi ni habari yako umeamkaje wajionaje hali, hata wazazi salam ndo iyo mama ye tushazoea kusalimiana kikristo , jifunze kutosema shkamoo hasa mikoa ya pwani tafuta salam yako moja tu ya kipwani inayoheshimika
Wananzengo
Zimbabwe wame tangaza sarafu yao mpya kureplace pesa yao iliyopoteza thamani kwa 80 asilimia,
Sarafu hii ni ya kidigital pia inapewa thamani na gold.
Hadi sasa Zig 100 ni sawa na usd 10 na point.
Je, watajikwamua?
====
Zimbabwe’s new currency, the ZiG, strengthened a day...
Mwanaume havai vibukta vya upinde, mwanaume hanywi serengeti lite sijui flyfish na bia zinazofanania, mwanaume halisi hamwelezei mtu matatizo yake wala kuonyesha anatatizo, mwanaume hachati chati ovyo tena huku anatembea,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.