Mods/admin tafadhali kuna uwezekano wa kuifanya hiyo post ya kwanza isionekane?
Ogah, mie bado natamani sana jamaa wa PSU waje hapa watupe elimu kuhusu kazi yao, kuna forum mmoja nilikuwa nakwenda kabla haijafungwa wamejazana jamaa wa Close Protection kutoka sehemu mbali mbali duniani alafu...
Ni Tanzania tuu ndio tunaaminishwa kuwa walinzi wa viongozi hawatakiwi kujulikana. Ningefurahi sana kama watu wa PSU wangekuwa wanakuja kwenye hii thread na kutuelezea mawili matatu kuhusu kazi zao za kila siku. Na hatutokwenda nje ya OPSEC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.