Search results

  1. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mimi nimesema 23 yrs sio 28 Jackson ana covertion rate kubwa zaidi ya Nunez aliyenunuliwa mil 100 Jackson kamisi big chances 19 au 20 Watkins 20+ Nunez 25+ Haaland 30+ Bado mimi namuona Jackson ni mtu ambaye anacheza vizuri na hapa sio kocha wala yeye wa kumlaumu Failu ya Chelsea au Pochettino...
  2. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    2026 - Attackline --------------------Fofana (23)------------------------- Nicolas Jackson (24) ---Cole Palmer (23) ----Kendry Paez.(18) Sub Mudryk (24) for Jackson (24) Chukwuemeka (21) fo Palmer (23) Angelo Gabriel (20) for Paez.(18)
  3. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jackson vs Saliba of Arsenal Mkosoeni Jackson hapa anakosa gani?
  4. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wachezaji walio wengi wanaanza kukomaa kisoka wakifikisha miaka 23. Tafuteni ukweli kwanza kabla ya kukoment masuala ya kitaalamu kama hizi Unakumbuka wakati ule Sarri akilalamika juu ya akina Cheek? Alikuwa akisita kuwapa nafasi hadi mashabiki wakawa wanalalamika. Kwenye mojawapo ya interview...
  5. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hata ubovu wa Badiashile ni kwa sababu ya Pochettino Enzo alikuwa mzuri wakati wa Potter sasa amekuwa average Badiashile alikuwa mzuri wakati wa Potter sasa amekuwa hovyo Caicedo, Mudryk, walikuwa wazuri na timu zao kabla ya Chelsea sasa average/hovyo MUdryk alikuwa anadevelop vizuri, alipoanza...
  6. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Uchezaji wa hovyo wa Chelsea na matokeo ya kukatisha tamaa yanaweza kuhusishwa na sababu kuu 4 tofauti. 1) Wachezaji: Ukosefu wa uzoefu wa timu na umri mdogo, ambao unachangia 15% ya suala hilo. 2) Wamiliki: Ni wapya na maamuzi yao mabaya huchangia 20% ya tatizo. 3) Majeruhi: Athari kubwa...
  7. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Glasner ameipa sura mpya Palace kwa klutumia mfumo wa 3-4-2-1jinsi tumekuwa tukimwomba Pochettino afanye na kikosi chetu kutokana na kutokuwa na ubora wa mawinga wa nje, viungo wa misuli na CBs wazuri. Palace wanaonekana timu tofauti, imara na inayoruka huku Wharton na Hughes wakiwa katikati ya...
  8. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jana nilisem atuijadili Palace labda tutapata uzoefu wadau wa Poche wanadai wachezaji ndio wa hovyo wakanyamaza. Wale Palace tangu waanze ligi ni wabobu kuliko Chelsea ya vitoto, leo hii wamewafunga Liver na New castle na aluta continua
  9. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nilisema tujadili Palace halafu mnaminya Ebu nipeni majina yote ya kocha mpya wa Palace, umri wake, uzoefu wake, je aliwahi kubeba makombe maana naona ni aina ya akivna Alonso. Tumuwahi huyo atatuletea muwa arobaini
  10. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nendeni Anfield mkasalimie huko
  11. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    TETESI: Tayari kuna makocha wa kaliba ya juu ambao wako mkao wa kumrithi Mauricio Pochettino na watafurahishwa na changamoto inayotolewa na Chelsea "Ruben Amorim to Chelsea here we go" Chelsea wamelenga macho yao kwa kocha mlengwa Liverpool Ruben Amorim kama mpango mbadala endapo Chelsea...
  12. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ukweli ni kwamba kilichowanyima makombe ni kuwa na academy kwenye EPL na ubahili juu wa Wenga na wamiliki. Sasa sisi tunahitaji ulenge point mambo ya top 4 hata sisi tutaingia tu sio muda mrefu ila makombe ndio nawasiwasi itatuchukua miaka ishiri kwa sababu ya wamiliki wanataka kukaa na kocha...
  13. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Unapochangia mada hii kwanza utaje ulianza kuwa shabiki wa Arsenal lini, isije kuwa ulianza wakati wa Arteta halafu ukatuzungusha tu hapa hapa. Sisi Chelsea tuko serious hatukuzoea kuishi na Stress Kama kweli ninyi ni binadamu na mna utu mtusaidie
  14. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nadhani hatujachelewa
  15. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwanza naomba mtupe uzoefu wenu. mliwezaje kusurvive na timu mbovu kiasi kile kwa miaka karibu 20? Tupeni bana ,maana tunaelekea huko tusije tukawapoteza ndugu zetu njiani Niko Serious Arsen wote mlioishi tangu 2005 ya invisible ebu tuambieni sasa
  16. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ebu tuchambue baadhi ya timu ambazo kocha mpya ameleta impact kubwa sana msimu huu Levakusen Crystal Palace .........
  17. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kocha mkubwa zaidi ya huyu asingekubali kuja Liverpool, wamiliki ni wabahili sana
  18. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Fvck Todd Boehly Fvck Behdad Egbhali Fvck Mauricio Pochettino Fvck Laurence Stewart Fvck Paul Winstanley Fvck Nicolas Jackson Fvck Mykhailo Mudryk Fvck Noni Madueke Fvck Benoit Badiashile Fvck Moises Caicedo Fvck Enzo Fernandez Fvck Raheem Sterling Fvck Connor Gallagher Fvck All Chelsea fans...
  19. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mauricio Pochettino ameuambia uongozi wa Chelsea kwamba lazima wafanye maamuzi ya kikatili katika dirisha lijalo la majira ya joto. Alisema klabu inahitaji kuja na mkakati mzuri zaidi ili kuepukana na usiku wenye maumivu kama huu usijirudie tena. Maoni yangu Simpendi sana Pochettino, lakini...
  20. lembu

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ushahidi mzuri ni kwamba Cucurella alimuweka mfukoni Saka, Arteat akagundua dawa ni kumuweka Ben White aambatane na Saka, wakati Cucurella yuko bussy na Saka, yeye anaenda tu uani, wina ndie alitakiwa kumtarct White lakini alichwa kuwa hru akatuliza 2-0 Kule kwa Gilchrist nako fomula ni ile ile...
Back
Top Bottom