Tusianze kulalamika tu fuata sheria zilizotungwa na bunge tukufu ili kuepuka usumbufu usokuwa wa lazima.kulipa kodi ni wajibu wako na sio hiari.lipa kodi kwa maendeleo yako
Kiongozi sehemu yeyote ile hupangwa na Mungu,hivyo basi Mungu hakupanga awe rais wetu ashauriwe aendelee na business zake na akubali matokeo vinginevyo atajipandisha presha bure (presha inapanda presha inashuka)
Bahati mbaya katika wizara za serikali yake ni kati ya wizara zinazoongoza kwa kuitia umaskini nchi hii kwa kusamehe ushuru na kodi. Pia ni wizara hiyo hiyo inayoongoza kwa kuwa na mikataba ya ovyo isiyo na tija na wananchi.
Mandla jr,nadhani na wewe unakuwa kwenye kundi la mambumbumbu...
hivi kwa nn jk hajaenda mpaka leo gerezani kumjulia hali babu seya, hana huruma hata kidogo
mke wa mtu anauma asikwambie mtu,uibiwe kitu chochote lkn sio mke wa mtu
Mleta hoja yawezekana ana lake jambo, atuambie Yuko Nyasura ipi ikiwezekana aweke na picha.
Kama ni mambo ya uchaguzi CCM itashinda kwa 90% hapo kesho.
Karibuni Bunda mji wenye amani na utulivu.
Chuki hapo umenena ni lazima CCM ipate...
Umefanya research lakin kabla ya kuandika upuuzi huu? Kwa taarifa yako Tanzania ni nchi ambayo gharama za umeme kwa watumiaji wa kawaida ni ndogo bado kuliko nchi zote EA wakati tanzania unit haijafika 200shs ,rwanda ni 240RWF sawa na 500shs,kenya ni dola moja sawa na sh za tza 1560 na...
zitto ni kamanda mpiganaji na mpambanaji hakika mchele utabaki kuwa mchele na pumba kubakia pumba,ZZK kashinda kesi big up kamanda zzk uko juu.Unastahili kuchukuwa uenyekiti wa chama chenu cha chadema kamwe wasikutishe.
Amen' "Kwa Mungu yote yawezekana kwake aaminiye" Tuendelee kuomba Mungu afungue ufahamu wa
watanzania wauone ukweli huu'
Ni kweli kabisa Mwenyezi Mungu atusaidie tuendelee kuchagua chama makini kinachoendelea kutuletea maendeleo yaani Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kidumu chama cha Mapinduzi
Kwa mtazamo wangu,serikali inapaswa kukaa na pande mbili yaani Waislam na wakristo na kuzijadili hoja au kero za pande zote mbili kwa pamoja.
Haya matukio ya mauaji yanayotokea inaweza kuwa ni moja katika athari za kero hizo au ikawa ni sababu mojawapo kwani sababu hasa bado haijafahamika...
nakuunga mkono ndugu yangu nami boda boda langu limekutana na kadhia hiyo hapo moro Kwa hiyo wewe ulitaka TRA wamkimbie huyo mwendesha bodaboda wasitekeleze majukumu yao mara baada ya kutimua mbio?.Acha ushahabiki shauri watu wafuate sheria za nchi.
Huyu jamaa anajua kazi la hilo jeneza ni kubwa na ni kawaida ya hao jamaa kufanya biashara kwa njia za kishirikina hata marehemu sheikh yahya alikuwa akifanya hivyo
Kaimu kamanda huyo alisema kuwa polisi waliokwenda kufanya uchunguzi wa awali walibaini kuwa mtu aliyeiba vitu hivyo hakuwa amevaa viatu kutokana na nyayo za miguu yake zilizoonekana nje ya chumba alichokuwa naibu waziri huyo.
hapo kwenye red inamaana huyu mtu alikuwa nae chumbani,alivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.