Ukweli ni kwamba" HAKUNA UPINZANI TZ, WAZALENDO NI WACHACHE TZ, SIASA NA ULAGHAI KWA WANANCHI NDIYO NGAO YA VYAMA KWA SASA. Hamuwezi kuishi kwa kuviziana fulani kafanya nini,ushauri wangu viongozi wote bila kujali vyama watumikieni wananchi msitafute umaarufu acheni umaarufu uwatafute.
Mzee hana cha kukosoa kwa uongozi wa Magufuli
amebakia kutapatapa. Haiwezekani hao wabunge ndo wanaongoza kufisadi uwapelekee pesa ili wale no bora anavyofanya. Halafu pia mbona ilisha idhinishwa na bunge yeye anabadilisha matumizi tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.