hapo umenena angekuwa mrema ni waziri angeshatoa amri na wafanya biashar. wote wangetii amri. kusingekua na ujinga huu. uongozi ni kipaji sio elimu tu. hawa mawaziri wa sasa vipaji hawana...
<br />
<br />
hapo hilo neno kuna watu wanajiona wenyewe wazima sana mpaka unaponda ugonjwa wa mwenzio. ajiangalie sana kutafuta sifa za kijinga mwishowe maradhi yatanpata yeye. angalie familia yake kabla kubofya ujinga huu
kweli nabii hakubaliki kwao. mrema kachagulia na watu elfu 30 awe mbunge, wananchi wamemwamini. wa sauzi wakaona historia yake nzuri wakampa dr. wa heshima. wa tz tuna matatizo gani kazi kuponda tu. embu jiulize we baba yako kafanya nini mpaka unapata jeuri ya kumbeza mrema, hafiki hata robo ya...
Tatizo watu hawapendi wengine wapate sifa. Mrema anafanya kazi nzuri bila yeye haya tusingeyasikia.
Mbona dr. Slaa aliongoza kamati hii 2005 - 2010 hatusikia akikemea kitu au alikuwa nae anapewa rushwa, kwa kazi Mrema anayofanya JK amteue kuwa waziri..
huyu tao ni mamluki wa cdm katumwa nao, juzi mrema kawaponda cdm bungeni naona wanarudisha mashambulizi. huu ni mkono wa cdm. kuna vyama 18 kwanini tao asiende huko atapata uenyekiti..
acha siasa za chuki wapinzani wameshindwa bajeti unataka anune kama wewe ye kawa muungwana kakubali matokeo sio kila jambo kupinga tu! mrema anaonyesha njia nzuri, hao mawaziri ni marafiki zake kafanya nao kazi muda mrefu kusalimia sio kosa, acha chuki tumia akili.
hureee!! mbowe kaangukia pua, ule mkakati wake wa kufanya cdm kuwa chama kikuu cha upinzani na kuponda vyama vingine tlp na cuf kwamba ni ccm b imemuumbua, sasa kaona hafiki bila mrema. kaona mrema anavyo pambana na halmashauri kamkubali, vile vile kafulila. mbowe acha uroho utashika vingapi...
hii thread inaweza kuwa kweli. kitu kingine kibaya kuhusu mbowe ni kutaka kuua vyama vingine vya upinzani ili cdm kibaki kuwa chama kikuu cha upinzani. hii theory yake ni mbaya na itaumiza cdm vibaya 2015.
utafiti niliofanya unaonyesha wachangiaji wengi hawapo tz kazi maneno mengi tu jf, hata hawakumpia kura rais wao slaa mwaka jana. acheni kuwashika pembe wa tz maskini
kweli nimeamini jf ni ya cdm mpaka moderator anawatetea wabunge na anachakachua mpaka thread. wachangiaji wengi wanaohimiza tuandamane wengi hawapo tz, nyie cdm tumieni akili
jf is not 4 great thinker anymore. ni genge la wahuni. mrema does not deserve these comment. baba zenu hawamfiki nusu ya matendo ya mrema lakini wanaropokoka. mie naona mrema achukulie hatua jf kwa matusi anayotukanwa huku jf. there some member should be ban from posting comment.
tatizo chadema wengi humu jf. wanataka dk slaa apate sifa zote na chadema peke yao acheni roho za korosho, mpeni mrema sifa anayostahili. chuki na matusi ya nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.