Imetokea ajari mbaya maeneo ya Kijiji cha sungamile karibu na kata ya Kagongwa wilayani Kahama Mkoani shinyanga muda wa saa 8:30.
Ikihusisha gari la Serikali na badaboda iliyokuwa ina abiria 2 na dereva,ambapo imeua mtu mmoja papohapo na wengine wawili wako mahututi.
Chanzo Mimi mwenyewe.
Wakuu,
Kunataaliga zilizosamba toka jana na leo kuwa,wauza Nazi masoko yote ya Dar walikataza kuwauzia Nazi wapenzi na maahabiki wa timu ya simba, ndiyo sababu ya kupoteza mchezo kwa watani wao wa jadi Yanga
Mama Samia Mtumbue A, Hapi atakuharibia na kutoa imani kwa Watanzania waliyonayo kwako. Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu, kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye...
Ndugu Wanajamvi,
Nimepata tatizo kuhusiana na Airtel Money siku ya ijumaa, na nipo kijijini. Lakini kila nikipiga huduma kwa wateja namba 100 ili niwaeleze tatizo langu hawapatikani.
Chakujiuliza ni kwamba, inawezekanaje mitandao mkubwa wa mawasiliano wakakosa namba ya simu ya kuwahudumia wateja?
Ndugu wana bodi
Leo kwenye uzinduzi wa Ofisi mpya za TAKUKURU Chamwino mkoani Dodoma, Sipika Ndugai amemwambia Raisi Magufuli kuwa Wilayani kwake hawana Ofisi za Takukuru .
Kitu cha kushangaza ni kwamba ,Bajeti ya Bunge imepitishwa takribani mwezi mmoja sasa na yeye alikuwa ndiye msimamizi wa...
Kufuatia kuuwawa kikatili kwa asikari wa JWTZ akiwa anatoka dolia ,kumeleta sintofahamu kwa wakazi wa mjini Tabora,
Mimi nikiwa raia mwema,nimesikitishwa na vitendo vya asikari wa Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania kuwatembezea kipigo raia bila huruma kila wanaekutana nae tena bila kumpa...
Wanabodi,heri ya mwaka mpya,ndugu wanabodi,huyu Dada alikuwa anaishi morogoro mazimbu Malibu na chuo kikuu cha sua,tarehe 3/12/2017,alimwita dereva was bodaboda,akamwagiza awatangulize watoto wake wawili,mkubwa ni wakike anamiaka 9 na wapili ni wakiume anamiaka 6,ambao kawazaa mwenyewe,boda...
Ndugu wana bodi habali za siku nyingi, napenda kuuliza juu ya uamuzi wa rufaa ya mahakama dhidi ya mwenyekiti wa zamani wa ccm mkoa wa Dar juu ya dhamana yake leo hii, mwenye taalifa naomba anijulishe kwa sasa nipo shambani.
Ndugu wana jamvi salaam kwenu
RC, DC, afisa afya mkoa na wilaya ,licha ya jitihada za Rais Magufuli kuhimiza usafi, lakini uongozi wa mkoa wa Tabora,umeshindwa kusimamia zoezi la usafi, kitu cha kushangaza maafisa afya mkoa na wilaya kazi zao wanafanyia wapi au wako likizo? Jalibuni kutembelea...
Ndugu wanabodi,
Nimeshindwa kumuelewa huyu ndugu mkuu wa mkoa wa DSM ndugu Makonda/D.Bashite kuitisha mkutano na waandishi wa habari mjini Dodoma Leo hii, lengo la mkutano huo ulikuwa nini?sijaona kitu cha muhimu alichowaambia wanahabari zaidi ya kuwaambia kuwa kesho kuna ugeni wa waziri mkuu...
Ndugu wanabodi kwa hali ya kushangaza,mtu mmoja amenusurika kufa baada ya wananchi kumkuta akiwa ameanguka chini huku akiwa anakula MAJANI kama mbuzi,kufuatia kuzidiwa kwa njaa kali,ndipo wasamalia wema walipomuokoa kwa kumpakiza kwenye Bodaboda na kumpeleka kwa afisa mtendaji wa kijiji cha...
Ndugu wana jamvi naomba kupata ufafanuzi,kwa mtu yeyote anayeelewa kuhusu mtu anayeitwa Jumanne Kishimba.
Mwaka 2006 serikali kupitia Jeshi la Polisi,walitangaza kumtafuta kwa udi na uvumba na zawadi nono kwa mtu au kikundi cha mtu atakayefanikisha kupatikakana kwa mmiliki wa kampuni iitwayo...
Wakuu heri ya mwaka mpya, kwa sasa nipo kijijini, nimesikia taalifa ya habari kupitia Radio TBC kuwa, ule mpango wa BRN umejibu baada ya Mkoa wa Tabora kushika nafasi ya mwisho kwenye matokeo ya mtihani wa Darasa la saba, mwenye taalifa sahihi alete ufafanuzi hapa kwenye jukwaa.
Polisi mkoani Shinyanga, namaanisha hawa wanaolinda Bank, licha ya kutambua kuwa wanalinda usalama wa wateja na fedha zetu lakini imekuwa ni kero kwa wateja hasa kwenye Bank za NMB tawi la Manonga na CRDB mjini Shinyanga, utakuta wamesimama na silaha zao kama wako vitani wamewasimamia wateja na...
Basi la kampuni ya KISBO SAFARI,lenye namba T534 CHX,lilokuwa likitoka Dar kwenda Mwanza,limepinduka vibaya kufuatia tairi la mbele kupasuka likiwa kwenye mwendo kasi,na kuua watu wawili papo hapo na wengine zaidi ya hamsini kujeruhiwa vibaya.
Ajali hiyo imetokea nje kidogo ya mji wa Ikungi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.