Mngekuwa mnabishana kwa kuweka na picha za magari mnayomiliki ingekuwa safi sana, sio mnabishana kwa magari mnayoyaona barabarani tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
-Wilaya inayoongoza kuwa na vijana walevi wa pombe haram Tanzania nzima.
-Wilaya inayoongoza kuwa na ndoa zenye mahari kubwa kuliko zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipengele nahisi mwalimu wako wa kingereza hakueleweka, #articles kasome tena... mbali na hivyo si vibaya ukiandika kwa lugha uliyo na umilisi nayo.
Basi wewe pia hukuwa unajua ulichokiandika, kumsifia director ni jambo moja, director kuonekana mkali kwenye wimbo mkali ni jambo lingine, unadhani Hansana anaweza kudirect video ya wanafunzi wakiimba wimbo wa taifa ikawa kali kama aliyodirect ya Marioo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Walichokuwa wanakihitaji hakipo kwa hao madirector uliowataja, vile vile sio lazima kila video ifanywe na directors wa ndani, kuna msururu wa videos walizofanya na hao unaowataka, je umewahi kuwasifia kwa hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia umoja, unasema "mmemsubiri" wewe na nani? Sema ni raisi uliyemsubiri wewe na nafsi yako maana hata mkeo(kama unaye)au demu wako anaweza kuwa hayuko upande wako.
Baada ya hii ripoti na makubaliano leo mmeibukia wapi sijui, mnaongea kuhusu Lissu as if yeye ndiye aliyekuwa anakwamisha Tanzania kulipwa hizi pesa, anyways wekeni akiba ya upupu wenu wakati waja mtakuwa hamuelewi nini kimefanyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.