80g siagi isiyo ya chumvi
180g sukari ya kusaga)
2 mayai
220g unga
1 tsp baking powder
1/2 tsp bicarbonate soda
1/2 tsp salt
1 tsp vanilla
1 kikombe cha maziwa lala (yoghurt au sour cream)
Oreo biscuits kama 5 hivi crushed
Changanya unga, baking powder, baking soda na chumvi weka kando...
Mimi kama mimi siamini au kawaida nashangaa kwanini mtu anacheat au extra marital affairs . Niko katika dilema na huyo mdosi ambae ni coworker, he is married and kids, kwa kawaida hawa watu ni wabaguzi so rightly speaking I dont fancy them.
Sasa issue huyu mdosi bwana kahamishwa hapa kwetu na...
Hehehe nimeitoa huko kwenye blog ya wake za wazungu......lakini kweli huku kwetu uswazi kweli ni kawaida kuwa na mume with 10+ age gap. Wengi wao wanakuwa machumaji.....
Jamani huyu ni ndugu yangu tunashare mmoja wa wazazi, ni mtu wa matatizo sana. Mpaka leo hii yuko 40+ lakini ni mtu wa drama, from case to case za aina ya utapeli. Huwa pia anatabia ya uzushi na tabia nyingine nzito. Sasa naona umebaki undugu wa maslahi, kila siku ni mtu wa kutaka asaidiwe...
Kama hayajakukuta shukuru mungu...but majority of us are trying or forced to fit in the wrong place. Habari ndo hiyo
cc: watu8, Mtambuzi, Bujibuji, Mbuzi Mzee, Preta, MziziMkavu, Kongosho
Kule kwetu tunaita wenye nyege za kitunguu saumu, zaidi ya maombi ya kutoa pepo la ngono. Kweli kuna tiba ya hii addiction, I mean some kind of Sex Rehab Center.
Akuu sio mimi kuna mtu anahitaji huu msaada.
To prevent egg shells from cracking, add a pinch of salt to the water
before hard-boiling.
To get the most juice out of fresh lemons, bring them to room temperature
& roll them under your palm against the kitchen counter before squeezing.
If you accidentally over-salt a dish while it's...
Wandugu Hamjambo....jamani hebu nisaidieni vipi niweze kuishi na watu wa majungu ofisini, kuna huyu jamaa yuko imara kuona makosa na kuyafikisha kwa Boss hata kama madogo madogo ili mradi nisiheme kwa raha.
Maaana hizi offfice politics siziwezi na wala sijazizoea.
1 kg Viazi mviringo/ulaya
1/2 kikombe unga wa ngano
1 kijiko bizari(rangi ya mchuzi)
4 malimau/ndimu au upendavyo
chumvi kiasi
6 ltrs maji...yakutosha kuivisha
Namna ya kupika
1)Chemsha viazi kwenye maji 4 ltrs na maganda yake mpaka ziwive lakini zisivurugike,zikiiva zimwage maji ziweke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.