Nyami2010 umetumwa kumsafisha Phd faker?
Zungumzia uhalali wa PHD aliyonayo,suala la wivu ni umbea.Ningekuwa foreign affairs ni msomi toka UDSM au chuo chochote kitambulikano,halafu naona mediocre mmoja mwenye Phd feki anakwenda Belgium,hapo ungesema.Nina bahati ya kukaa first class country na...
Nyami 2010 una akili timamu?
Eti wivu kwa Kamala!!!
Fact ni kwamba ana Phd feki toka chuo ambacho hakina campus etc. Commonwealth Open University IS A BIG JOKE,jiulize kwa nini akina Nchimbi,Nagu na Kamala etc ,na sio wabunge wa Kenya & Uganda!
CommonWealth Open University
PhD (Management)
2001
2003
PHD
CommonWealth Open University
MSc. (Management)
1999
2001
MASTERS DEGREE
Mzumbe University
MBA (Finance & Banking)
2001
2003
MASTERS DEGREE
Institute of Development Management - Mzumbe
Advanced Diploma in Administration
1994
1997...
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Institute of Development Management- Mzumbe Advanced Diploma in Economic Planning (ADEP) 1992 1995 ADV DIPLOMA
Lincoln University MSc. (Organisational Systems) 1996 1997 MASTERS DEGREE
Humberside, Brandford University...
Ni embarrassment kwa mtu huyu kupewa ubalozi kwenye first world country na bado kujiita "DR" wakati kila mtu mwenye akili timamu anajua hii ni PHD feki kutupwa!
Ms. Tully Malecela Mwaipopo
Second Secretary
Legal Affairs
212-972-9160 ext.21
mwaipopo@tanzania-un.org
Ms. Rose Mkapa
Administrative Attache
212-972-9160 ext. 25
mkapa@tanzania-un.org
Jacob P. Msekwa
First Secretary...
Najaribu kuinstall bluej kwenye laptop yangu naona nimekwama.
Sababu:Set up cannot create file on directory c:\windows\temp.
Error 5:Access denied.
Nimesota kama 4 hrs ago kujaribu kuangalia tatizo,kusort out hili la temp files bila mafanikio.
nipeni msaada!
Baada ya kuona wateuzi wa mikoa ,hasa wanajeshi (anayekwenda Kagera) ,nimejiluliza hii status quo itakwisha lini?Huyu Kanali anasifa gani za kuongoza mkoa huo?Nikakumbuka haya mambo yalianza tangu enzi za Nyerere,kuteua mabalozi,DC,RC wanajeshi wastaafu .Hii ilikuwa wakati wa ukoministi,dunia ya...
Kwa akili zenu,do you thing Mkuu wa Kaya hakuwa na habari za hawa live animals kwenda UARABUNI?
Hawa akina Ezekiel Maige ni ni young boys,namjua vizuri tangu high school,wamewekwa ni chambo tu,maamuzi yote yanatoka IKULU.
Kwa sisi old skool tunakumbuka IKARUS buses hapa DSM under Usafiri Dar Es Salaam.
Tukumbuke model hii ya transport ,wakati huo ndio iliyopo miji mikuu ya civilised countries.
Huwezi kuwa na transport system ya jiji,ambapo kila mtu anaweza kuweka gari jijini kuwa daladala.
Wengi mliofika London...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.