Habar Jf members!.
Pia heshma kwenu wataalam/walimu mliojitolea kutoe elimu ya meditations hapa Jf.
Kuna hali flan imenistua wakati nameditate kutaka kuelekea 3rd eye. Nlipokua nameditate macho yakawa na yanatetemeka/kupepesa kwa nguvu na kutaka kujifumbua nlipojizuia kufumbua yakafunga kwa...
At the last night wakat na_meditate ilishindikana kuendlea kwan yale matukio yanayonijia yananfanya yanizubaishe had kubadil direction ya pumz na kurudia upya, wiki kadhaa nyuma nilimeditate na wakat matukio yanaingia na kufany km naota. Then baada ya mda nkastushwa na energy flan km mvua...
Mimi ni wa 4 kwa mama na wa 9 kwa baba. Lakini baba ameniachia mimi majukumu ya kuilea familia!. Hapa inakuaje kwa utafutaj wangu wa riziki kuitafutia familia?.
Habari ndugu wana
Jf?.
Naomba msaada wa kisheria kwa urithi wa watoto kwa baba aliefariki akiwa na watoto4 pamoja na mkewe!. Akaacha wosia kwamba watoto wawil kati ya hao hawatamrithi chochote mana hawakumtii kama baba na walikua majeuri. Watoto hao wawil walionyimwa urithi kwa baba wao...
Hukumu imetolewa leo mtuhumiwa aachiwa huru!. Mlalamikaji alalamika na kusema atakata rufaa na mshitakiwa nae ataka kukata rufaa ya kudai fidia. Je ni nani mwenye nafasi nzuri ya kukata rufaa?. Na kwanini?
Afande akiambiwa mlete huyo msiri wako aje kuithibitishia mahakama kua ameona tukia anasema msiri analindwa kisheria. Kwa hyo ni ushahidi wa kuambiwa na msiri ambae analindwa kisheria. Mlalamikaji yeye anasema "mimi sikujua kua huyu ndie mwizi ila tu nlijua baada ya kuambiwa na afande ambae...
Habari
wanaJf?.
Kuna ndugu yangu ambae ni mtuhumiwa kwa wizi wa mifugo!. Ushahidi unaomweka hatiani hauna kidhibiti wala hajakamatwa kwenye eneo la tukio badala yake amekamatwa kwenye shughuli zake na kuambiwa ameiba siku zilizopita. Shahidi wa mlalamikaji ni askari ambae anasema...
U hali gani mwana JF?
Ningependa kujua faida au thamani ya mnyama aitwae Kakakuona katka maisha na mizunguko ya binadamu!.
Nawakaribisha wataalam jamvini..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.