Tatizo mnajua makabila machache sana nchini.
Nchi hii ina zaidi ya makabila 120 ila kutokana na UJINGA wetu, tunaishia kuchukua kabila moja au mawili kama makabila pekee ktk mkoa husika!. Mwishowe tunaposema kabila fulani wana tabia fulani tunajikuta tunazungumzia mkoa mzima wakati SIO...
Samahani kwa kuingilia,
Eti nasikia tarehe ya kufungua chuo (UDSM) imesogezwa mbele hadi tarehe 18 October.
Kuna mwenye Uhakika katika hili wana Jamvi?
Msaada msaada!!!!!,
Ningependa mwenye taarifa zozote kuhusu shule hii "Umawanjo Secondary".
Napaswa kwenda huko ila sijui iko Wilaya gani kati ya Njombe au Ludewa!......
Wana Janvi,
Naomba mwenye kuifahamu shule hii anisaidie!.
Mkuu
Nashukuru sana kwa Msaada wako kwani Umenifungua AKILI kwa kiasi fulani!.
But hiyo Website ya pili haifunguki!!.
Naomba uicheki sawasawa kama hujaikosea ili unitumie tena Clearly!!.
Mkuu,
Naomba kujua vizuri kuhusu chuo cha MAKTABA na UANDISHI hasa kuhusu Ada.
Naomba sana unicheki kupitia Email yangu cygeka@gmail.com
Unisaidie.........
Mkuu,
UALIMU mwisho ni 34.
Both Government & Private Colleges.
Sasa hiyo ya FOUR 35 kwenda UALIMU unaweza kunipa taarifa kidogo kama ANAWEZA KWENDA??...........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.