Search results

  1. Facts1

    Watu wa Mza, Mara, Shy, Geita, Kagera na Simiyu mpo tayari?

    Mkuu Mwita Maranya ulikuwa kama mtabiri vile, hakika nawapongeza sana waliobuni hii blog hakika inatia moyo kuchangia masuala ya nyumbani kabisa popote unapokuwa na itakuwa rahisi kujua kinachoendelea kwenye kata unayotoka. Hongereni sana.
  2. Facts1

    PICHA: Bungeni Nassari na William Malecela... Sasa Malecela atapata kura ya Nassari?

    Mkuu Albedo, unapomtetea mtu lazima kwanza kuna some facts unatakiwa ukubaline nazo, Ben alituhumiwa kutaka kuivunja katiba ya chama, right? kuvunja katiba ni uhaini, right? katika nchi nyingi adhabu ya mhaini kifo au kuwekwa detention kama Aboud Jumbe. Kichama uhaini au usaliti adhabu yake ni...
  3. Facts1

    Arumeru Mashariki: Wanachama na viongozi UVCCM kuhamia CHADEMA

    Kwa hiyo huwa unatumia ID moja tu kumtukana?
  4. Facts1

    Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

    Waingereza wamekasirika wanasema PM wao David Cameron amedhalilishwa, msikilize Kikwete kwenye dk. ya 20, ndio maana wanamrushia matusi. d"]
  5. Facts1

    Where are the borders of Zanzibar?

    Huwa najiuliza siku muungano ukivunjika mipaka ya tanganyika na zanzibar itaishia wapi, ndani ya bahari katikati ya Dar es salaam na kisiwa cha Zanzibar au kati ya Tanga na kisiwa cha Pemba, au ufukweni Kigamboni na Magogoni ferry na Kunduchi. Naomba wenye ujuzi na mambo ya territory wanisaidie...
  6. Facts1

    Nimeanza kuwakubali redio Clouds wanatangaza Uhuru wa Tanganyika

    Na mimi nimemsikia mtangazaji akisema tunasherehekea miaka 50 ya Tanganyika sijui kama ni uzalendo wa mtangazaji au wa redio Clauds.
  7. Facts1

    Waziri Simba: Tunataka Rais mwanamke

    Huyu naye amelewa madaraka anafikiri urais ni kama sherehe za kitchen party
  8. Facts1

    Tabora: Wabunge wa CHADEMA waachiwa kwa dhamana; Kupokewa kwa maandamano Igunga

    Tukio zima la kupigwa kwa DC Igunga limetufunza yafuatayo.. Funzo kwa viongozi wote wa serikali kuwa wakae mbali na uchaguzi waviache vyama vipambane vyenyewe Afande Mwema awasifu wanachama wa Chadema kwa kutekeleza kwa vitendo dhana yake ya Ulinzi jamii shirikishi Ni kweli haki huwa...
  9. Facts1

    CCM maji shingoni Igunga

    CCM wanafunika moto kwa blanketi, hiyo ni kitu rahisi sana ni magazeti gani niwasiliane nao ili nifanye biashara.
  10. Facts1

    CCM yasitisha kikao chake cha NEC

    Chama cha Mapinduzi CCM kimeahirisha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, kilichotarajiwa kufanyika mwezi huu mjini Dodoma, kwa ajili ya utekelezaji wa dhana ya kuvuana magamba, inayowalenga makada wawili, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge. Duru...
  11. Facts1

    VIDEO: Siri zaidi za kambi ya Singida zajulikana

    Kila kitu kinatengenezwa hata wewe ulitengenezwa na Mungu kama imetengenezwa je anayosema kuhusu kambi nayo huyaamini? maana mtengeneza kambi mwenyewe Mwigulu amekiri.
  12. Facts1

    VIDEO: Siri zaidi za kambi ya Singida zajulikana

    Mwigulu anaposema wana kambi moja tu na si zaidi ana maana gani mbona kabla hata hiyo moja alikanusha, CCM wanashindwa kusoma alama za nyakati hizi si zama za RTD kuwa watu watasubiri watangaziwe na mkuu wa mkoa au wa wilaya ili waamini sources ni nyingi kinachohitajika ni kubadilika, kama...
  13. Facts1

    VIDEO: Siri zaidi za kambi ya Singida zajulikana

    Kama jimbo moja wanapeleka watu 400 kambini je uchaguzi mkuu si watatumia jeshi?
  14. Facts1

    Kauli ya Membe kuhusu NTC ina utata

    WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesisitiza msimamo wa Tanzania wa kutotambua Baraza la Mpito la Libya (NTC) na badala yake amelitaka litekeleze mpango wa amani wa Libya uliokubaliwa na Umoja wa Afrika (AU). --HabariLeo. My take: Kama Membe halitambui baraza...
  15. Facts1

    Membe: Gaddafi amefikia mwisho lakini hatuwatambui waasi!

    If you are following this thread please read this article might contain information you needed to know. Mahmood Mamdani is professor and director of Makerere Institute of Social Research at Makerere University, Kampala, Uganda, and Herbert Lehman Professor of Government at Columbia University...
  16. Facts1

    Sudan government jets strike civilians; where is AU?

    Kenya (AP) - International rights groups are accusing Sudan's government of killing 26 people in indiscriminate aerial bombardments of opposition-controlled areas in the country's main oil-producing state. Human Rights Watch and Amnesty International said in a statement Tuesday that 45 people...
  17. Facts1

    Membe: Gaddafi amefikia mwisho lakini hatuwatambui waasi!

    Membe amesema Tanzania inajua kwamba hatima ya Kanali Muammar Gaddafi kuongoza Libya imekwishafikia, lakini haiwezi kuwatambua waasi wakati bado hawajaunda serikali. “Serikali ni pamoja na kuwa na viongozi walioapishwa, tutawatambua kama watakuwa na mihimili mitatu ya serikali, bunge na...
  18. Facts1

    Muafaka CCM, CHADEMA waiva

    Mimi siangalii unavyoangalia wewe kuwa karopoka post ya leo au katimka kwani kaondoka kwenye uongozi huo ni mtazamo wa kishabiki zaidi, mimi naangalia zaidi ya posts za leo, naangalia viongozi na uongozi wao na uwezo wa kiongozi kujengea hoja jambo fulani si makosa ya neno moja kama unavyotaka...
  19. Facts1

    Muafaka CCM, CHADEMA waiva

    Kama hili tunaliona ni jambo la kawaida basi Tanzania tumefikia mahali pabaya sana kiongozi anayeropoka na hasa mwenye sauti kubwa ya kubishana na wapinzani anaonekana ndiye anayefaa. Wassira anasikika si kwa uongozi wake mzuri bali ni kwa hasira na ubishi wake juu ya wapinzani, hii ni hatari...
  20. Facts1

    Muafaka CCM, CHADEMA waiva

    Asante Nsiande, zamani mimi nilikuwa najiuliza nitakuwaje kiongozi kama Nyerere au Salimu lakini siku hizi naona anybody can be a leader in Tanzania. Nilidhani cheo cha Nape ni kikubwa sana hapa kwetu maana kina influence kwa siasa zetu za kitaifa lakini majibu ya mwenye cheo hayalingani kabisa...
Back
Top Bottom