Punguwani mkubwa, umekaa kiubishiubishi ndiyo maana huelewi researcher alivyoturahisishia kuielewa hii habari.
Karume alizindua ujenzi wa mitambo ya televisheni mwanzoni mwa mwaka 1972 kabla hajauawa.
Aboud Jumbe akaizindua TV ianzr utangazaji January 12, 1974 siku ya kuazimisha miaka 10 ya...
Nilimshaiuri Gwajima asijibu swalili lolote kwenye kamati na akatii.
https://www.jamiiforums.com/threads/gwajima-alifuata-ushauri-wangu-kukataa-kujibu-maswali-ya-kamati-ya-bunge-bunge-halina-mamlaka-hayo.1906997/post-40066618
Nilimshauri Gwajiboy asijibu chochote atakachoulizwa na kamati na ametii.
Kama hukusoma ushauri wangu upitie tena hapa
https://www.jamiiforums.com/threads/gwajima-alifuata-ushauri-wangu-kukataa-kujibu-maswali-ya-kamati-ya-bunge-bunge-halina-mamlaka-hayo.1906997/post-40066618
Jurisdiction point inajitegemea, huhitaji kuiunga na point nyingine.
Hata hivyo a point of law can be raised at anytime in the proceedings.
Hata kama ingekuwa imefika Court of Appeal point of law ikiwa raised lazima judge ashituke na aishughulikie.
Hoja ni kwamba mahakama ni chombo cha sheria...
Kama ulifundishika na historia iliyokuambia tuwaite wakoloni basi kaa ujue sisi hatukufundishika kama wewe.
Sisi tuliwaona ni wakombozi walituletea reli, hospitali, elimu, dini na civilaization.
Wewe endelea kupiga nyungu na kunywa kikombe cha babu.
Una akili fupi isiyovuka upana wa pua yako.
Mabalozi ni sovereign state wanahamasishwa na nchi zao na siyo na CHADEMA.
Mulamula alitumia uwaziri wake kuhamasisha wasiende wakampuuza.
Wewe ni taifa dogo sana watafanya watakalo. Ukisindwa hamia kwenye Jupiter au Mars.
Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.
Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.
Mara wamekuja mabalozi tele...
Wewe una uwezo wa kumpiga mtu askofu. Si unaona askofu Ruwaichi mlivyojaribu kanisa likamuokoa hadi mkajipendekeza kutuma ndege bila kuombwa.
Mligundua kitanuka mapema kama mngefaulu.
Chezeya kanisa weye, muulize mfalme Constantine wa Roma.
Vijitu vidogo vidogo kama dola yako si vya kupambana...
Siku moja kabla Askofu Gwajoma hajahojiwa na kamati ya bunge niliibua uzi unaosema bunge halina mamlaka ya kumuhoji alichoongea kanisani.
Hivyo nikashauri Gwajima akatae kujibu swali lolote atakaloulizwa.
Nilisema wazi ninampinga Gwajima msimamo wake wa kutotaka watu wachanjwe kwani mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.