Hizo cm wakati unanunua ziko vizuri kila idara, kaa nayo kwa miezi 4-6 utaona kila kitu kinaanza kuwa hafifu, kamera utaona kwa mbali ina km ukungu au moshi hivi. Memory inaanza kufuta picha moja baada ya nyingine, majina kwenye line inafutwa moja baada ya nyingine nk. Simu ni iphone km wallet...
Kazi ya YouTube ni ngumu sana, uwe na subscribers zaidi ya elfu. Uwe na viewers wa uhakika, tena sio wale wanao view na kuondoka, wanatakiwa walioangalia kideo nzima na matangazo yake full. Na iwe imeangaliwa kwa masaa si chini ya elfu 4 kwa mwaka. Na viewers wanaothaminika zaidi sana ni...
Sio manabii tu. Ukiwa wewe mkeo ni mlokole na wewe sio mlokole, ujue mchungaji wake ni rahisi avunje ndoa yake. Kwasababu wanahesabu we ni km kikwazo ktk dini yao. Mkeo anashindwa kumtumikia mchungaji na wewe mume,, mwisho anashauriwa aachane na mume huyo alafu Mungu atakupa mume mwingine ambaye...
Kuaminika kwa viongozi wa chadema maanake wakubaliane na sisiem inavyotaka. Ukikubaliana na nao unakuwa km tlp, cuf ya lipumba, na wale wengineo. Kila wanachosema sisiem wao wanasema ndio mzee
Una wazo zuri sawa, lakini kwa upande wa mwanamke yeye hudhani humpendi, kwasababu hulka ya wanawake huangalia leo zaidi kuliko kesho au keshokutwa ndio maana mapenzi inawagharimu wanawake zaidi kuliko mwanaume. Hawapendi kufikiria mustakabali wa maisha ya kesho. Wanaamini mwanaume maisha...
Cute girls ni chakula cha dharura kwa waliooa. Una mkeo ndani lakini amejifungua nk, itakulazimu utoke kwa cute girls wakupe faraja kipindi hicho kigumu
Mi sijala ila nilitafuna vizuri huko mbele nilipofukuzwa sikuenda nyumbani bali nilienda kwa wajomba kuomba michango. Nilifanikiwa kupata ada na ziada pia lakini nilipoteza siku 5 ya masomo
Miaka hiyo ndo kunaanza kupambazuka, tv imeanza kusambaa tz na simu zimeanza kuingia. Na sio 2001 moja tu mara ya mwisho mwisho kusoma sani ilikuwa 2006, 7
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.