Politicians are like diapers. They both need changing regularly and for the same reason,so wadau just be cool that is the way system it is,ni bora mfanye ibada labda maisha mazuri mtayakuta mbinguni lakini kwa hapa mtasema mpaka muiote mvi,hata akija nani kutawala nchi hii,hata nyie mnaochamba...
hivi nyie wadau have u made a research au kwakuwa midomo ailipiwi kodi ndo mnachonga kiasi icho?hivi muslims wamenyanyasika na kuachwa nyuma kwa makusudi kwa how long mbona hamkulisemea hilo,kweli mkuki kwa nguruwe....................haya we...............
Mdau una maana gani unaposema urais na uswahili wapi na wapi, mlitaka ikulu itawaliwe na non muslim peke yao? Iweje anapoingia muislam aitwe mswahili? Acheni majungu mtagawa nchi tumewashitukia na mkimwaga mboga tutamwaga ugali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.