Sasa we unafeli wapi si unakataa tu kumpa simu mpaka aje na polisi na wakati anasema atakuferisha we si unakuwa unamrekodi then unamchana kwamba akikuferisha makusudi tu mambo yote hadharani.
Bado nasema safari za usiku ni risk kubwa mtu unatembea 160 na wakati mbele vision imepungua kwanini usivamie vicheche, hatuja sahau bado tu yule dereva wa basi alie igonga locomotive mpaka ikatoka kwenye reli leo tena mtu kavamia roli na kwa speed aliyo ingia nayo kwenye roli karibia nusu nzima...
Mbona una wa aibisha uto wenzako wewe kilaza au kwa kuwa wenye akili ni wawili tu hapo vyurani fc....
Shabiki alienda kufukua kitu kwenye goli la wale sokwe fc na golikipa wao alijua kabisa akawa ana mzuia asifukue hicho kitu ila vip lakini mmesha utoa huo mwiko huko nyuma au mtaenda nao mpaka...
Yaan mimi kabisa nivae ile jezi ya uto halafu nika wapigie kelele eti uto wafuzu nusu hehehe hiyo ni ndoto nadhani tena ndoto ya kutisha.
Acha vyura wapigwe tu usiwaonee huruma mjomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.