Usishangae mkuu,
Nilipotia mada nilikuwa sahihi kwamba sekondari kadhaa zisizo za amali zimeshaingia mkenge.
Huyo jamaa unayemshangaa ni mmojawapo waliouvaa mkenge.
Kibaha wameingia mkenge huo sekondari nyingi tu na hakuna wa kuwaamsha.
Ndugu wadau,
Wote tunajua kwamba mtaala mpya umeanza mwaka huu 2024 kama ilivyoelezwa mara nyingi na wakuu wa wizara ya Elimu na hadi Waziri mwenyewe.
Kadiri ya maelezo ni kwamba shule za sekondari zitakazoanza na mtaala mpya hasa kwa form one ni zile chache tu zenye mkondo wa amali.
Shule...
Wiki hii imesambaa picha ya Papa Francis akikwepa kubusiwa pete yake, utaratibu unaofanywa kwa askofu yeyote, achilia mbali Papa.
Kitendo hicho kimejadiliwa na kila aina ya mitandao, kwenye magroup, facebook, twitter na kokote unakoweza kutaja.
Sasa mimi maoni yangu ni nini? Maoni yangu ni...
Ni kweli. Utaratibu wa kumtangaza mtu mtakatifu huchukua miaka na hata ikibidi karne nyingi. Wanasiasa hawalijui hilo na baadhi wanaweza hadi vifo vyao wasilijue.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.