Imani nyingine zinaweza kuathiri maana halisi ya dini. Nina hakika kinachosubiriwa na hao waumini ni miujiza ya Bwana ambayo kwa asilimia kubwa haitatokea. Sasa je jamii itawachukuliaje hao mapastor baada ya kushindwa kutimiziwa lengo lao. TUWE NA KIASI KATIKA IMANI. Nyanda
Haya mambo yapo Pande zote mbili. Tatizo linalojitokeza hapo ni mabadiriko ya maisha na umbali unaowatanganisha wapenzi hawa. Pamoja na sababu hizi hulka ya mtu ndiyo msingi mkubwa wa kudumisha mapenzi.
Mimi ni mwanachama mpya ninayejulikana kwa jina la Madoshi Kuzenza wa Geita. Nitakuwa pamoja nanyi katika kupokea na kutoa maoni katika mambo mbalimbali ya msingi. I hope you enjoyed your Xmas. Cheers.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.