Habari wakuu. Kijana wangu anaandika mtihani wa darasa la saba wiki ijayo.
Najaribu kutafuta na kulinganisha shule za sekondari kwa ajili yake. Anapenda sana masomo ya sayansi, hasa kwa vitendo, hivo ningependa shule ambayo wana ubunifu wa sayansi, hasa clubs hai za ushindani na walimu wenye...
Salaam wakuu,
Kama kuna mwalimu wa mbeya day, au mtu yeyote ambaye ana access na joining instructions za form 5 mwaka huu naomba tafadhali. Nazoziona online naona ziko outdated kwa miaka miwili!!
Huku umakondeni bana unaweza kuvunjika mbavu, kila mmoja anaongea kama nchekeshaji. Na mnavopenda kula nyie hata safari ya Buguruni Kkoo mnabeba wali kwenye rambo.....hahahaaaa. Hakyanani Ntwara vituko. Nani yuko huku umakondeni tusocialize sku mbili hizi wakuu? Ladies please, kampani za wanaume...
Salaam wakuu.
Humu najua wanasheria wako wengi, nahitaji recommendation ya mwanasheria. Kesi ya mambo ya ardhi, ni complicated kidogo hivyo ningependa nipate mwanasheria mzoefu sana. Prominent lawyers, please.
Asanteni
Salaam wakuu,
Naomba anayefahamu upatikanaji na taratibu za kuingiza mbao au magogo kutoka Congo. Nina kaproject kadogo tu kanahitaji mbao kama miamoja za miti aina ya WENGE na BUBINGA. Hata kama kuna mtu anazo mbao/magogo kadhaa za miti hiyo tafadhali naomba tuwasiliane.
Natanguliza shukran
Salaam wakuu, thread hii tutakuwa tunapeana updates zote zinazohusu Reggae Music. Reggae shows zinazofanyika jirani na maeneo yetu, requests za nyimbo mbalimbali za Reggae, riddims, dj mix nk. Kiufupi ukiamka unajiskia "Airee" wewe ingia humu kula reggae mwanzo mwisho. Mkuu Paw tunaomba...
Salaam wakuu,
Naomba anayeifahamu hiyo organization, wanadai wako based Iringa. Kuna kazi wwalitangaza zoom, Ndugu yangu mmoja aliomba. Walimfanyia interview ya oral kwa njia ya simu. Baada ya kama week wamemwandikia email kwamba amepata kazi na anatakiwa kuhudhuria mafunzo Dodoma mwezi wa sita...
Salaam wakuu,
Kuna wazo ninalo la kutumia coins (sarafu) kwa ajili ya kazi fulani. Coins nitazotumia ni za miaka ya nyuma zisizokuwa kwenye mzunguko. Sitaziharibu, lakini nitaweka sehem ambayo zitakuwa kama mapambo. Na je nikihitaji kununua sarafu hizo kutoka BOT inawezekana? Nitahitaji sarafu...
Wakuu naomba niiweke hapa hii, nina imani hapa wanapita wahusika wengi wanaweza kutoa majibu yaliyo sahihi.
Ikitokea kwa sababu moja au nyingine gari iliyotumika imeingia bila kufanyiwa inspection huko ilikotoka, TBS wanaicharge fine ya pesa kiasi gani?
Salaam wakuu,
Kila siku huwa napita maeneo haya lakini sijawahi kujiuliza swali hili. Bahati mbaya au nzuri tulipita maeneo haya na mdau mmoja tukapata wazo fulani lililopelekea kujiuliza sehemu ya kuanzia.
Je, sehemu hii ya Bonde la Ufa iko chini ya milki ya nani? TANAPA wanahusika, au...
Salaam wakuu. Kuna jamaa yangu amelima ulezi anao mwingi sana upcountry. Wanaodeal na mazao naulizeni soko la hapa mjini likoje, kuna mteja Wa kuweza kununua gunia 50 kwa pamoja? Bei ikoje? Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.