Acha mambo yako. Kuna nini cha muhimu kwneye hiyo mahakama? Nini kimekosekana kwenye mahakama za kawaida ambacho kitaongezeka kwa kuwa na hiyo mahakama?? kushupalia mahakama ya ufisadi isiyokua na tija , nao huo ni ufisadi!
Kwa maelezo yako, pamoja na maelezo ya Pasco, inaonyesha kuwa Zanzibar kuna tatizo kubwa la watu kubaguana na pia zinatumika mbinu mablimbali kutaka kutatua tatizo hilo bila kuangalia "root causes" za tatizo. Mbinu za kutumia "mamaluki" kwa mfano, ni njia nzuri kwa kundi moja na mbaya kwa kundi...
Mkuu Baragash, maelezo yako yanaweza kuwa ya ukweli kutokana na itikadi uliyonayo kuhusu unavyotamani Zanzibar iwe. Kuna mchanganyiko wa maelezo ambayo yapo halali kihistoria, lakini pia, unachomekea mambo mengi yanayokuza itikadi yako " ya kuendeleza ubaguzi". Maneno yako hapo juu, ni maneno...
Inabadi tubadili utaratibu viongozi wawe wanaapa kwa mizimu ya mababu (tuone kama hawatachizika wasipotekeleza viapo vyao)! Maana naona kama imekua haina maana tena kuapa kwa Mungu huyu tuliyeletewa na wazungu na waarabu.
Wamiliki kukubali tu siyo issue, maana wanajua kua wao sio watekelezaji! yaani hawatakua barabarani , na wanajua anayeongea nao hana uwezo wa kutoa maelekezo kwa madereva na makondakta , maana dala dala sio mali ya umma
Angefanya vema sana kuongea na makondakta na madereva , maana ndio wanaoshinda barabarani na ndio wanaosaka cha juu baada ya kupeleka mzigo kwa boss ( mmiliki)!
Kama furaha yake ni kutumbua majipu baadala ya kuzuia majipu kuota , basi hatatenda haki kwa ustawi wa nchi! Atengeneze mazingira yatakayozuia majipu yasiote! Ashirikiane na wasahauri wake kutengeneza mfumo wa kuzuia majipu yasiote kuliko kutengeneza mfumo wa kutumbua majipu na kutangaza kwenye...
Mkuu, ugomvi tena utoke wapi? Nilikua nauliza tu kwanini umerudi tena JF wakati unasema wale vijana ndio walifanya uondoke?? ..ila unakosea unapoanza kuongelea mambo ya kushikiwa akili, zinaweza kuwa ni dalili za kukwepa kuulizwa maswali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.