Search results

  1. Asante

    Kwa mara ya kwanza toka 1979 Tanzania inapata uhaba wa pesa za kigeni bila ya kuwa vitani

    Tunanunua ndege kwa cash dollar Tunalipa faini za mahakama za kimataifa kwa kuvunja mikataba kwa cash dollar
  2. Asante

    Rushwa kubwa ni sababu ya upungufu wa dola kwenye mzunguko

    Manunuzi ya ndege kwa malipo ya cash, faini ambazo tumelipishwa na mahakama za kimataifa, ambazo tumelipa cash, na bado kuna kesi za mikataba ya hovyo tulifanya zinaendelea. Zimeondoka na akiba ya fedha za kigeni kwa mabilioni ya dola.
  3. Asante

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Mazao gani yanastawi shambani kwako, na soko liko vipi
  4. Asante

    Tatizo la rangi kubanduka

    Ukuta umelowa maji
  5. Asante

    KKKT yatahadharisha kuhusu COVID19

    Asante
  6. Asante

    Kilimo cha mpunga Tanzania

    Niliwahi kusikia zipo mashine unaweka shambani zinatoa mlio wa sauti ambayo hakuna ndege anayeweza kutua eneo hilo kwa mzunguko wa nusu kilomita. Mtaalam hizi mashine zipo, kama ndiyo nitazipataje na bei gani. Nataka nizifunge mwenye mashamba ya mpunga.
  7. Asante

    #COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Kumekuwepo na mapungufu mengi jinsi ya kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa corona. Njia moja ya maambukizi ya ugonjwa huu hatari ni kwa njia ya mate. Wahudumu wote wa mahoteli, mama ntilie wahudumu wa bar hawana kinga yoyote ya kuzuia mate kudondokea kwenye sahani ya ubwabwa, kuanzia mpishi...
  8. Asante

    House4Sale Vyumba vya kupangisha Kawe Ukwamani

    Vyumba vyenyewe mbona sivioni
  9. Asante

    Tatizo la kusinyaa kwa mapesheni

    Tumia mbolea ya CAN tatizo la maua na matunda litaisha
  10. Asante

    Uchakavu wa basi za shule

    Bus za shule ni lazima ziwe za rangi ya yellow.
  11. Asante

    Msimu wa korosho umewadia, mizani na mawe feki katika vyama vya msingi kwa ajili ya kuwaibia wakulima bado ni tatizo kubwa

    Toa taarifa idara ya mizani kuhusu wizi huo, ofisi zao ziko Mtwara mjini nyuma ya bank ya NBC.
  12. Asante

    Epuka gharama za kumwagilia kwa kutumia mafuta kwa kununua mfumo huu

    Nipe simu za wakala wenu aliyeko Dar es Salaam, au ofisi zenu ziko wapi hapa Dsm.
  13. Asante

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    Hapana sijawahi kuvuta sigara kabisa
  14. Asante

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    Ni nokia ya tochi ndungu yangu
  15. Asante

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    NSSF, Vitambulisho imeshindikana, sasa tena simu naomba msaada
  16. Asante

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    Kuna namna nyingine ya kusajili bila ya kutumia vidole?
  17. Asante

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    Mhasibu na situmii vipondozi kabisa
  18. Asante

    Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

    Mimi ni mhasibu muda wote niko ofisini
Back
Top Bottom