Ungekuwa ni wewe unasimamia kazi hiyo na endapo wote wana sifa ungefanyaje kuwaacha wengine na kuwachukua wengine? Bursara ya hali ya juu ni kuwaita kwa haki na kuwashindanisha.
lakini pia, hao jamaa wana kanzidata na unaweza kufanya usaili huo mmoja ukapangwa kazi sehemu nyingine na hili...
Ajira Portal App ni mfumo unaorahisha utoaji huduma na hasa taarifa za uwepo wa nafasi za kazi Serikalini, unaweza kuomba kazi, ku-update information za portal kupitia app hii. Ingia play store na type Ajira Portal, utaiona na ina nembo ya bibi na bwana.
Uko sahihi na hoja yako inafanyiwa kazi. Mfumo wa online APTITUDE test system utaanza kujengwa na hivyo kuwafanya waombaji kazi kufanya usaili huko waliko.
Soma ile user manual iliyoko pale kwenye portal ikuelekeze na unaweza wapigia simu kupitia namba za simu zinazopatikana kwenye portal ili wakusaidie. Mfumo sasa umekuwa mzuri sana
HABARI;
Sasa mfumo umeboreshwa kiasi kwamba kama huna sifa stahiki huwezi kuomba kazi. Ujumbe unaoletewa ni muhimu sana kuuelewa kwani ili uweze kufanikiwa kuomba, hakikisha degree/diploma uliyonayo ni sawa na zile zilizowekwa kwenye tangazo la ajira. Ukiudanganya mfumo haitasaidia.
Maboresho...
Je, kukosekana kwa mishahara kun a uhusiano na uhaba wa wagonjwa? Je, kuna ongezekezo la vifo nchi watu kushindwa kwenda hospital? Kama huumwi, Kairuki utafuata nini? Je, umefuatilia kujua ni kwa nn hawajalipwa? Vyanzo vyao vya mapato vilikuwa nn? Think the unthinkable always
Nimeisikiliza hotuba ya Mugabe, hakulitaja jina la Kikwete na maana halisi si hiyo hapo juu ya kile Mugabe alichozungumza. Hata hivyo, kuna tofauti ya CCM na nchi tajwa hapo juu. CCM wanabadilisha uongozi wakati katika nchi tajwa hapo juu, viongozi ni wale wale.
Mtu aliyetaka kutulea Mradi wa kutengeneza mvua hafai kama ukoma. Tulivyo vipofu, Mpango wa MEM na MESS tunaufahamu? Serikali ya Mkapa ilianza kwa kuboresha shule za Misingi na ilipoingia Serikali ya JK ikaendeleza kwakuanza ujenzi wa shule za kata na ujenzi wa vyuo vikuu. Leo mtu anajitokeza na...
Pole, ukimaliza posho za utumwa ulionao utakuja kuelewa. Sipo kujadili mawazo finyu kama yako. CCM inao vijana wengi wazuri na waadilifu na EL hawezi kuwa kiongozi bora wa kuiongoza nchi sasa. Amejiuza vya kutosha na amenunua wa kutosha, hivyo upofu upo kwa watu walionunuliwa. Endapo nawe ni...
Hakuna hoja za kupangua, ulichoandika si hoja Bali mawazo ya kuambiwa. Unataja mitaa flani flani kuwa ana nyumba bila kuwa na ushahidi. Haya tuambie namba za vitalu vya nyumba. Za kuambiwa changanya na Zako. Uzuri mi si mwanasiasa lkn naona mnajitahidi kuchafua viongozi wote wazuri ili kuonesha...
Wewe Ni mpuuzi unayeandika ujumbe kwa kutumwa. Kwa ccm ya Leo, Pombe ndo anaweza kuwainua mapema. Amefanya vizuri kwenye wizara zote. Hizi Habari za kiswahili Hazina muda. Tujipange kutafuta viongozi na tuache ushabiki WA kipindi kifupi kifupi.
mkakati ulikuwa ni kupambana na Republican na sio kupambana na Hilary Clinton. kwa hilo la Mkumbo hakuna cha kutetea, mkakati ulilenga kuharibu chama chao. Bora walifukuzwa na sasa mambo yao yanaendelea vizuri
Mjumbe usibanwe na fikra za watu, jaribu kufikiri nje ya box. Mzee Lowasa amehudumu kwa miaka nenda rudi, hatakuwa na jipya.
Anza kufikiria ambao hawajajipendekeza kama Magufuli, Migiro , Vuai, Mwinyi , Nchimbi etc.
Hapa suala sio kufanya jambo kwa kulipiza: Wala mimi si mwanachama wala mfuasi wa yeyote katika chadema bwana Mwekundu. Ingekuwa ni busara kwa zito ku-deal na huo waraka unaomtuhumu na sio kuandaa waraka wake wa kimapinduzi. Chadema wameukana waraka na sasa anaenda mahakamani (hii ndio njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.