Search results

  1. M

    Nimekabidhiwa trl jana kama new md naomba ushauri

    Kwa maoni yangu: pale kwenye kampuni kuna watu wamefanya kazi muda mrefu sana. Ulizia kwa wafanyakazi mtu anayeijua sana kampuni. Chagua kama watu watano wa namna hiyo. Waulize njia muafaka za kufanya ili kampuni ipae, iwe juu kwa kufanya vizuri, kwa kufanya maajabu, isipate hasara. Utapata...
  2. M

    Mimi Mgeni naomba E-Book ya Sir Andy Chande

    Thanks a lot Ndugu for this nice card.
  3. M

    Mimi Mgeni naomba E-Book ya Sir Andy Chande

    Ndugu MziziMkavu, nashukuru kwa haya maelezo yako ya kina kuhusu Jamii Forum. Nitajitahidi linalowezekana na tutawasiliana kwa anuani mbali mbali ulizotoa. Asante.
  4. M

    Mimi Mgeni naomba E-Book ya Sir Andy Chande

    Ndugu WanajamiiForum, hamjambo? Mimi ni mgeni hapa, sana. Siku ya leo, Jumamosi 26 Desemba, 2009, ni siku yangu ya kumi (10) tu. Kwa hiyo bado sina hakika kama ninalotaka kuuliza linaulizika au vipi, kama linaruhusiwa au vipi, iwapo mgeni kama mimi naruhusiwa kuuliza hivi, au sina budi kuishia...
Back
Top Bottom