Katibu mwenezi wa CCM kata ya Bulyanhulu iliyopo wilayani Msalala mkoani Shinyanga bwana Dismas Aloyce amevua gamba leo mbele ya Kamanda Alphonce Mawazo mwenyekiti wa Mkoa wa Geita katika mkutano wa kampeni za serikali za mitaa uliofanyika katika kijiji cha Kakola.
Tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo katika jimbo la kalenga ambapo imeeleza kuanza Kwa kampeni hizo tarehe 19 Feb 2014. Wakati tume hiyo ikitoa ratiba hiyo, bunge maalum la katiba linatarajia kuanza tarehe 18 Feb 2014. Tume hiyo imetoa ratiba hiyo huku ikijua kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.