Libya denies report of Gaddafi son's death
Opposition says Khamis Gaddafi killed Saturday when plane deliberately crashed into family compound in Tripoli Ynet Published: 03.21.11, 18:52 / Israel News .addthis_toolbox {width:90px;height:21px;}.addthis_toolbox .custom_images a{width...
Ku cheat kwa BF/GF ata kama kunaumiza si kama kwa mke / mume.. Kwa sababu, kwa wana ndoa, kuna makubaliano (hata kama si ya kidini) ya kuwa wataishi pamoja na hawatatoka nje..tena wanandoa hutegemea eti kuwa wanaridhishana na mwenzake hatatoka nje ya ndoa.. kwa BF/ GF ni jambo mbaya kucheat...
Duh.. Hapa mimi naona kama ni fiction story.. kwa sababu sioni vile mwanaume anaweza kupigwa na mwanamke na kuendelea kuishi naye, an kulazimishwa kufanya tendo...Ushauri wangu ni kuwa either tafuta msaada kwa watu wa dini ambao mkeo anawaheshimu, au watu ambao anawaheshimu na kuwasikiliza, ila...
Nakulabiana na hizi qualities.. ILA wengi akina dada zetu cku hizi (c wote), cha kwanza hi HELA.. shape ya wallet yako ndoo inaongea.. kama haujajipanga ki-hela, be sure humpati au mzigo hutakuwa wako pekee..mwanamme hata aliyeoa kaa hana hela, hata nyumbani mke anaona huyu naye...ijapokuwa mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.