Search results

  1. Utingo

    Makonda kuwa waziri kwenye wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

    next magu?......kwamba eventually naye ataondoka by 2037?
  2. Utingo

    Waliokuwa wakisema mkataba wa DP World uko sawa kwa sasa wana maoni gani baada ya mkataba kurekebishwa?

    umeusoma na ukathibitishwa yanayosemwa ndiyo yameandikwa ktk mkataba?
  3. Utingo

    Wayahudi ni watu wa vita miaka yote

    mtatoana macho bure kwa historia ambayo ilishavurugwa
  4. Utingo

    Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

    utashangaa hata waarabu hawawataki maana wafilisti kwa asili si waarabu. Pengine ndiyo sababu iran inawapa makombora tu na si chakula ili wakirusha israeli, israeli iwateketeze.
  5. Utingo

    PhD za heshima: Msimu wa shahada za Ikulu umeanza tena

    ufisadi una sura nyingi mkuu...si ajabu ukasikia UAE nao wanatoa
  6. Utingo

    Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

    yaani hamtaki kukubali kabisa kuwa ni penzi la kawaida:D:D
  7. Utingo

    Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

    hapo ndiyo amekera. mambo ya kuiga wazungu hayo. How can a man submitt himself to a woman.
  8. Utingo

    Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

    kuna nini cha ajabu hapo mwanaume na mwanamke wakiamua kuoana? Au mpishi hastahili kuolewa?
  9. Utingo

    Kama hii ni kweli, nchi inahitaji maombi kuliko wakati wowote ule

    protocol/team inayoratibu safari za rais inaidhalilishwa na kuifedhehesha sana nchi. This is beyong abomination and blasphemy.
  10. Utingo

    Mhariri wa Gazeti la Majira umewaza nini hadi kuja na Kichwa cha hovyo hiki cha Habari leo?

    Nawe unastahili Tuzo ya Heshima kwa kuendelea kusoma hivi vijarida vya ccm
  11. Utingo

    BRICS ina msimamo gani mgogoro wa Israel na Palestina

    nani alikudanganya kuwa si muungano wa kijeshi pia? Mnapofikia kuwa na muungano imara kama eu unadhani masuala ya kisjeshi hayahusishwi? BRICS ni trade partnership si regional integration.....
  12. Utingo

    Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

    na hawatarudia tena kwa miaka ya hivi karibuni na si ajabu masalia ya hamasi wakakimbia kabisa wakahamia nchi zingine au jangwa la sahara kujificha. retaliation watakayopata wiki hii hawataisahau milele.
  13. Utingo

    Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

    ushabiki wa kijinga kwa sababu vita haiko mlangoni mwako. Watakaoumia zaidi na kwa wingi ni raia wasio na hatia wa palestina maana kwa ulipizaji kisasi wa mazayuni, wataiteketeza gaza kwa wiki nzima. Gaza strip itarudi kuwa katika zama za mawe.
  14. Utingo

    Ongeza maarifa yako ewe mtu mweusi: Sio Wayahudi wote ni Mazayuni (Zionists)

    ujinga ulio nao wewe basi unadhani wote wako kama wewe. Wewe peke yako ndiye ulijua wote ni wazayuni
  15. Utingo

    Tamko la Ubalozi wa Palestina Nchini Tanzania juu ya vita inayoendelea dhidi ya Israel

    hawa jamaa walitarajia kuwa Israeli itakaa kimya iendelee kuteketea?
  16. Utingo

    Naenda Nairobi, wapi nitapata lodge ya bei rahisi?

    ksh 1500 nenda kibera tu
  17. Utingo

    Kizazi cha magazeti na taarifa za habari kinatoweka

    magazeti ya tz yanasurvive kwa mirahaba ya ccm
  18. Utingo

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    ndugu zetu?....ukivuruga amani ya mwenzako naye atavuruga yako. hakuna cha kuombana tuombe hapo.
Back
Top Bottom