Sijui kwa nini raisi hakushauriwa kwenye hili. Makonda angeweza kupewa ukuu wa mkoa lakini sio Arusha.
Yeye ana doa tayari la kuondoa haki ya watu kuishi na sio yeye Wala serikali waliowahi kukana hili. Hata Magu pamoja na kuwa kipenzi chake, hili alilichukulia kwa uzito na akamtoa Makonda...
Huyu waziri laiti asingetoa hii kauli. Ameleta taaruku na kuna kila dalili ya mchezo kujawa na fujo. Manara aliwahi sema in public kwamba Simba wananyunyuzia wapinzani wao sumu vyumbaji, serikali haijawahi sema lolote. Kote duniani, hakuna shabiki anayechaguliwa timu ya kushangilia bali huchagua...
Kwa hiyo tunaanza kupangiwa namna ya kushangilia mpira? Mpira ni burdani, kila mtu anajua namna ya kuburudika nao. Haya yalianza, tutaua fan base ya mpira iliyopo nchini hivi hivi.
Hii ni identity ya people za north. Ni moja ya tabia ya mwanadamu ya kurithi. Huwezi kilikombia wala kuliongeza. Hata hivyo komwe sio ulemavu, ni sawa na tulivyo na watu warefu ama wafupi.
Wako wataalamu wa muandiko. Watapitia maandishi yako na kuoanisha na yanayotajwa kuwa yako. Hapa huwezi dangaya hata kidogo. Bahati mbaya muandiko hata uigize namna gani ni ngumu kubadilisha everything.
Kuna kuunganisha dots, kama kweli mmoja alipata supplementary kwenye mtihani tajwa na alipifanya akafaulu, huu nao ni ushahidi tosha dhidi ya kesi yao.
Zamani ipi mkuu? Mimi zamani ninayojua chuo kikuu bila point 6 kwa mvulana na 8 kwa msichana huingii. Kumbuka pia wakati huo D na E hazikuwa principal pass.
Hizo ndoto zako wachana nazo. Hakuna hospital inayotamani kufanya biashara na NHIF, hata hizi za serikali, sema kwa sababu zinapata ruzuku otherwise huwezi enda hospitali kwa vifurushi vya NHIF
Mkuu kula ni ibada kwa kila mtu sio waislamu tu, hata wapagani. Kusema utaleta sukari wakati wa ibada ya watu fulani ni kuwadharau wengine na ibada zao za kula.
Kanuni ya mahusiamo ya kijamii inakataa maandishi yako haya. Pole sana Jk. Yaani mtu unayekiri alikuja nyumbani kukushawishi ugombee uraisi anaumwa alafu usio haja ya kwenda kumpa pole kweli?
Kuna mtu anamlaumu Kikwete kwa kumkata Lowasa kwenye uraisi mkuu? Hoja inayojengwa ni Kikwete kuwa mnyima wa fadhila alizopata kwa Lowasa hata kufikia kuwa raisi. Alikuwa na nafasi ya kuendelea kutunza urafiki wao bila kuhusisha na nafasi za uongozi wa nchi. Hili la kuongoza nchi sio jambo la...
[emoji1][emoji1]pole Mzee. Ukweli ni kuwa hakuna uzalendo hapa ila ilikuwa njia ya kujiponyesha. Neema ya Mungu, Mzee Magu akaewatia moto mpaka mkaamua kumdanjisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.