Anaye gawa hizo pesa ni nani na mbona vyombo vya habari wako kimya na uwanja wa taifa umejaaa wananchi na makonda ndio mgeni rasmi nilijua kuna mpira...hapa kuna jambo na wakina mama ni wengi sana
angatoboa mfuko ili yamwagige angekufa kwa mujibu wa mama aliyeibiwa baada ya kuitwa kituo cha polisi na kumshika nyeti za mwizi huyo na mzigo ukashuka.
mungu wangu na kuna maiti 5 zimeokotwa ufukwe wa ziwa victoria zikiwa na mawe mungu wangu tusaidie. na hili la familia moja kuna jamaa anawajua wote ndugu zake mpka sasa bado hawajapata hata mmoja
hv kweli mwalimu aliyesomea kufundisha sekondary tena kwa kingereza leo hii unampeleka msingi akafundishe kwa kiswahili unategemea nn kwenye elimu ya mwanafunzi tokea msingi. elimu ndio inapigiliwa misumari ya mwisho kaburini hivyooo....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.