Search results

  1. bribrii

    Lord Eyes amefukuzwa kwenye kundi la Weusi

    malpo duniani.alichomfanyia ray c kwa kwel...afungwe tu na huko weusi afadhali tu walvomtimuwa coz nawapenda weusi.hawanaga sscandal za kis*nge.
  2. bribrii

    Fedheha kubwa polisi Singida

    ya ngoma ya kzaramo???au ngoma ya picha ip???
  3. bribrii

    Haya ni maajabu kweli kweli....

    sjui,sjawah fanya hvo.ngoja nkiingia ya mwez wa 3 ntafanya experiment.ntakupa jbu
  4. bribrii

    USHAURI:ana mapenzi ya kweli au ananipetezea muda

    mschana mwenzangu,hana mapenz ya dhat na wewe.kama.unaweza jsepeshe then n bnt na n mrembo.hakuna mbaya dunian.just mtext that mu end up coz huon tena mapenz yake kwako.i blv wapo weng wanakutokea,usiwe na papara utampata tu akupendae kwa dhati.pole my
  5. bribrii

    USHAURI:ana mapenzi ya kweli au ananipetezea muda

    kwahyo akpata kaz heshma itarud.akfukuzwa majanga yaanze tena????aaaagh!!!s fair hyo
  6. bribrii

    USHAURI:ana mapenzi ya kweli au ananipetezea muda

    uschoelewa hapo wewe nn????kama hujaelewa acha,sio kla laznma thread uielewe.
  7. bribrii

    waungwana naomba mni abarishe kuhu haya

    m.kt wa muda ni kificho,bunge lmejaa washenz na wahuni tupu.yaan walianza kidai lak3 haiwatosh.juz mkulo kaibiwa beg lake lenye vtu vya thaman kama lap top.leo kaibiwa mwngne bt jran yake alikuwa makonda.hvo aliitwa kusachiwa.naaa.... lngne nakala kutotosha bungen.zimeenda wap,mm sjui.n umbeya...
  8. bribrii

    Lupita Nyong'o and Flaviana Matata

    ushasema watu na bahat zao.sasa ajpendekeze iweje?muda wake ukfka nae atashine zaid ya huyo nyong'o.kla jambo na wakat wake.bahat ya mwenzio uslale mlango waz..
  9. bribrii

    Msaada wa kupata mkopo

    finca!!!usimshaur.bora mabank mengne.ndugu yangu ana mzgo kias kutokana na biashara yake kushuka.wamemtembelea na kla ktu kapeleka.mwsho wa sku.afsa mkopo ana mwambia management imekataa,ksa mzgo mdogo.na n mzgo wa cret kama 50 hv za soda... kama s chuk n nn?nn maana ya mkopo,watu.wajiinue.sasa...
  10. bribrii

    Mtaji wa 200,000/=

    hata mm wa hapa dar nataka kujua hyo biashara,ikwezekana na masoko ili niweze kuifanya
  11. bribrii

    Mtaji wa 200,000/=

    jawalait naomba uni pm plzzzz
  12. bribrii

    Nimekubaliwa kuonana na rais Ikulu tarehe 5th March, 2014

    nakuonea huruma sana.usje ongea ya kumchoma sana ukatiwa dagger ama shaba.all in all,i wsh u all da best..
  13. bribrii

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    mmh.nilikaa nae for mor than two years na ndie alientoa bkra but alpo malza fom six akawa anadate na mdada mwngne.nlgundua baada ya kuona sms zake baada ya kuzma smu for two days alzokuwa nam.thou nliziona sms bt still.alikataa na kunivunjia.line yangu baada ya kujua nmeichukua ile...
  14. bribrii

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    hakumega..aliambulia dry kiss tu.chezea watu na mipango yao
  15. bribrii

    Kuuliza si Ujinga

    ndo hvo..heri ya rais wa ug aliesign adhabu ya kfo kwa shoga yeyote.na nampongeza mugabe kwa kumtaka o**ma aolewe na mugabe kama anataka ushoga uidhnshwe zimbabwe...the thruth m sjawah kuonana au kumeet na hao kuku wa tamu(mashoga)
  16. bribrii

    Kuuliza si Ujinga

    mmh.mashoga as i knw n mwnaume anae f**lwa.yaan n mwanaume anaegeuza kwa kufanywa mapenz na wanaume wenzake.nkmaansha hutumia sehemu ya haja kubwa kama njia ya kufanyia mapenz.inanitisha hii.bt shoga hata kama atakuwa na hisia za kiume yaan mpaka kudndsha bas hawez mfksha mwanamke klelen..thats...
  17. bribrii

    Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

    wanajamvi nakuja mbele zenu kubwaga mkanganyiko huu.hivi madaraja.ya mwaka huu ndio yamefidia ile div 5??maana Four kwa miaka ya nyuma ilikuwa kuanzia point 26,lakini mwaka huu eti 26 ni three!!!!eti zero ya miaka ya nyuma mwaka huu ni four,lahaula!!!!!na kuna four mpaka ya 47!!never see before...
  18. bribrii

    Mpenzi wangu ameathirika,nipeni ushauri nifanyaje ?.

    kama unampenda kuwa nae tu kwan ukimwi utakufa hapo hapo ukiupata?huyo hajakusalt bt atakuwa kazaliwa nao au atakuwa kapata pasipo ngono..mpende tu
  19. bribrii

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    mmh.nakumbuka nliachwa kisa rafk yangu.aliniacha kstaarabu tu akanvuta sehemu akanambia B cute naomba tuishie hapa kwa mahusiano yetu.nlkubal coz hata hakunidnya na kpnd hcho hata ckuwa na smu.so skuumia.bt nkaambiwa anadate na rafk yangu,hata skuwachukia coz huyo rafk yangu namjua.wakadinyana...
  20. bribrii

    Mpenzi wangu kanizidi umri

    nakushauri angalia averageya umri mliopshana.kama n more than 5 years kdogo hapo haiko poa.bt kwann doubt umri wake sasa?kwanini sasa?hapo mwanzo hukujua hlo!!?
Back
Top Bottom