mschana mwenzangu,hana mapenz ya dhat na wewe.kama.unaweza jsepeshe then n bnt na n mrembo.hakuna mbaya dunian.just mtext that mu end up coz huon tena mapenz yake kwako.i blv wapo weng wanakutokea,usiwe na papara utampata tu akupendae kwa dhati.pole my
m.kt wa muda ni kificho,bunge lmejaa washenz na wahuni tupu.yaan walianza kidai lak3 haiwatosh.juz mkulo kaibiwa beg lake lenye vtu vya thaman kama lap top.leo kaibiwa mwngne bt jran yake alikuwa makonda.hvo aliitwa kusachiwa.naaa.... lngne nakala kutotosha bungen.zimeenda wap,mm sjui.n umbeya...
ushasema watu na bahat zao.sasa ajpendekeze iweje?muda wake ukfka nae atashine zaid ya huyo nyong'o.kla jambo na wakat wake.bahat ya mwenzio uslale mlango waz..
finca!!!usimshaur.bora mabank mengne.ndugu yangu ana mzgo kias kutokana na biashara yake kushuka.wamemtembelea na kla ktu kapeleka.mwsho wa sku.afsa mkopo ana mwambia management imekataa,ksa mzgo mdogo.na n mzgo wa cret kama 50 hv za soda... kama s chuk n nn?nn maana ya mkopo,watu.wajiinue.sasa...
mmh.nilikaa nae for mor than two years na ndie alientoa bkra but alpo malza fom six akawa anadate na mdada mwngne.nlgundua baada ya kuona sms zake baada ya kuzma smu for two days alzokuwa nam.thou nliziona sms bt still.alikataa na kunivunjia.line yangu baada ya kujua nmeichukua ile...
ndo hvo..heri ya rais wa ug aliesign adhabu ya kfo kwa shoga yeyote.na nampongeza mugabe kwa kumtaka o**ma aolewe na mugabe kama anataka ushoga uidhnshwe zimbabwe...the thruth m sjawah kuonana au kumeet na hao kuku wa tamu(mashoga)
mmh.mashoga as i knw n mwnaume anae f**lwa.yaan n mwanaume anaegeuza kwa kufanywa mapenz na wanaume wenzake.nkmaansha hutumia sehemu ya haja kubwa kama njia ya kufanyia mapenz.inanitisha hii.bt shoga hata kama atakuwa na hisia za kiume yaan mpaka kudndsha bas hawez mfksha mwanamke klelen..thats...
wanajamvi nakuja mbele zenu kubwaga mkanganyiko huu.hivi madaraja.ya mwaka huu ndio yamefidia ile div 5??maana Four kwa miaka ya nyuma ilikuwa kuanzia point 26,lakini mwaka huu eti 26 ni three!!!!eti zero ya miaka ya nyuma mwaka huu ni four,lahaula!!!!!na kuna four mpaka ya 47!!never see before...
mmh.nakumbuka nliachwa kisa rafk yangu.aliniacha kstaarabu tu akanvuta sehemu akanambia B cute naomba tuishie hapa kwa mahusiano yetu.nlkubal coz hata hakunidnya na kpnd hcho hata ckuwa na smu.so skuumia.bt nkaambiwa anadate na rafk yangu,hata skuwachukia coz huyo rafk yangu namjua.wakadinyana...
nakushauri angalia averageya umri mliopshana.kama n more than 5 years kdogo hapo haiko poa.bt kwann doubt umri wake sasa?kwanini sasa?hapo mwanzo hukujua hlo!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.