Umetujazia server mkuu, Kwani unahitaji akili nyingi kujua Kama anajua? Weka pembeni akili zako za Lumumba halafu msikilize vizuri kamanda Ndio utaelewa
Twende kazi kaka achana na uoga wa karma, pengine wewe ndio karma ya D kwa kumuacha boyfriend wake, inawezekana alimuacha bila sababu ili awe na wewe so ni mipango ya Mungu wewe kumuacha ili naye ajifunze.
Kamata tu M huyo na wewe akija kukutenda sio ishu Ndio maisha yalivyo cha msingi ni...
Ndio shida ya kuomba ushauri kwa watu, binadamu tumeumbwa na moyo wa huruma. Naona karibu wote wamekushauri ubaki na D sababu ya huruma ambayo binadamu kaumbwa nayo bila kuangalia furaha yako
Nikwambie kitu kimoja na pengine hata wengine pia wakitilie maanani, mambo yote tunayofanya katika...
Hii comment ilitakiwa iwe Ndio uzi ili jamii ipate taarifa sahihi na sio huu upotoshaji unaofanywa na wanaojali matumbo.
Mkuu pole sana kwa kupoteza ndugu. Umetoa ushuhuda ambao wengi Naona hawajatilia maanani. Hakuna lisilo na mwisho wapotishaji na wazembe wakati wao wa hukumu utafika tu
https://www.ippmedia.com/sw/biashara/serikali-yakusanya-bil-14-mnada-wa-hadhara-wa-miti
Watafute wakala wa mbegu za miti ofisi zao zipo morogoro njia ya kwenda Dodoma utaelewa
Je unajua vipato vyote vya mume wako? Na unajua matumizi yake? Kuna wakati mke unaweza kusema kuwa mume wako ni mtumiaji mbaya wa pesa Kumbe si kweli Bali ni kwamba majukumu yake ya kuihudumia familia yenu ni mengi kuliko kipato chake. Mwanaume hawezi kukubali kuona kuna gap kwenye familia...
Gharama roughly za ujenzi, Ila usiogope
Msingi - 25M
Kuinua tofauli na nguzo - 20M
Vibali vya ujenzi - 4M
Slab - 25M
Kuinua tofali za juu - 10M
Kupau - 30M
Finishing - 50M (Hii ni ya kawaida)
Jumla piga mwenyewe. Msingi, slab na kupau lazima uwe na hela kamili
NB: Hakuna kinacho...
Huwezi elewa umuhimu wa ndoa mpaka ukutane na mtu aliye lelewa bila mzazi mmoja.
Jiulize wewe baba yako asingemuoa Mama yako na ukaishi na mzazi mmoja ingekuaje? Kuna mkuu nimesoma anajisifu kabisa kuwa analea kwa whatsap na anaona sifa. Ukiamua kutokuoa Au kuolewa basi pia usizae sababu...
Kitu cha kumilikiwa na watu wengi huwa ni shida sana kukisimamia. Trekta moja kijiji kizima sijui watajipangaje kumlimia kila mtu. Mafuta ataweka, service yake na matengenezo pia atagharamia nani?
Suluhisho ni kuwawezesha wanakijiji kupata soko la uhakika Kama la korosho ili waweze kukopesheka...
Sasa mkuu umelima bila kuwa na mzoefu wa hicho kilimo? Yani unategemea kupata suluhisho jf sidhani Kama utapata kwa wakati. Uliza jirani zako huko ruaha wakulima si wengi!!
Nadhani Changamoto itakuwa uwepo wa kontena zenye friji kuhakikisha nyama hairibiki
Hili ni tatizo lkn ni fursa mkuu kwahiyo Kama unaweza kupata kontena za namna hiyo ukawapa hili wazo wanao safirisha ng'ombe na ukaanza kuwakodisha hizo kontena utakuwa umekuwa mjasiriamali original maana...
Namalizia
UK - London
Huu mji ni gharama mnoo, yani pound 100 sawa Kama Tsh 300,000 inaisha kirahisi mnoo. Nilikuwa naishi kwenye chumba kimoja kwenye nyumba yenye vyumba vinne tuna share sebule, jiko na choo kodi ilikuwa pound 350 ambayo ni kama Tsh 1M, chumba cha bei ya chini kabisa ni...
Kwanza nianze kwa kusema go east go west home is the best. Bongo pazuri na patamu sababu ya ujamaa wetu, umoja na upendo Nyerere ashukuriwe.
Mungu kaniwezesha kutembea nchi hizi zikiwa kwenye mpangilio ya kwanza mpaka ya mwisho, nitaweka na interesting facts ninazo kumbuka
1. Botswana - 2008...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.