1.Hii ni kwa wanandoa ,wapenzi,mtoto wako---simu ya mkeo na yako kwa pamoja zitatakiwa kufanyiwa installation ya hii software.mfano unamwazima mkeo simu yake kwa siku moja kumbe unaenda kuifanyia installation then unamrudishia,hawezi kujua hata kidogo kuhusu nini kinaendelea.
2.Kwa sasa trial...
Nadhani ni configuration tuu zimesumbua ktk laptop yako:
Elewa Modem/data cards=phone ktk data/GPRS(General Packet Radio Servc for 2g,HSDPA-High Speed Downlink Packet Access for 3g.
Hata ukiconnect modem yako kwenye laptop then ukipiga simu kwenye hiyo line ya kwenye modem itaita...vivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.