Shekhe mbona jazba?!
Wapi nimetaja Fattah?!
Tatizo lako hujui Ila mbishi, kuna tofauti Kati ya
Hypersonic missile
Hypersonic ballistic missile
Hypersonic rocket
*Hypersonic missile inakimbia 5x kasi ya sauti huku ikifanya maneuver kuevade missile defense.
*Hypersonic ballistic missile hizi...
Unamuongopea nani shekhe, au siku hizi kujeruhiwa ndo kufa!!!!
Hezbollah launches missiles and drones at northern Israel
At least 14 Israeli soldiers are wounded in an attack launched from Lebanon as regional tensions escalate...
Ndo maana nakwambia unabwabwaja bila kua na taarifa kamili.
Haya bishana na Iran state media bhas
Kheibar Shekan ballistic missile is one of Iran's most modern ballistic missiles.
It is an Iranian solid-fuel ballistic missile unveiled by the Islamic Revolution Guards Corps Aerospace Force in...
Unabwabwaja sana wakati huna uthibisho.
Iran wenyewe kupitia chaneli yao ya Taifa walithibisha kutumia halafu ww mbongo toka Tandale kwa tumbo unabisha, Kheibar sio Mara kwa kwanza kutumika lilitumika mapema mwaka huu Syria na Iraq kama kisasi baada ya Iran kushambuliwa na IS.
Iran's state news...
Weka hapa hayo makubaliano sio kuleta story za kahawa!!!
2020 wakati Iran anarusha ballistic missile Iraq, Iran ilitoa taarifa kwa Marekani... US akahamisha assets zake pamoja na wanajeshi mapipa ya Iran yakaishia kulipua naadhi ya majengo na hakuna mwanajeshi aliyepoteza Marshall, kama yupo...
Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe. 😂😂😂
Makombora aliyotumia Iran yote ni mapya Lengo likiwa ku evade missile defense lakini zilishindwa.
Iran walitumia Kheibar ballistic missile hii walilizindua mwaka juzi 2022. Hili ni Hypersonic ballistic missile linakimbia mara 16 zaidi ya kasi ya sauti...
Ndo yaleyale ya Russia kudai Kinzal na Zircon ni Hypersonic badala yake zikaja kushushwa na Patriot mfumo wa anga uliojizeekea tech ya zaidi ya miaka 30. Wakati huohuo S400 inashindwa kudaka Storm shadow za Muingereza mpaka inaenda kuteketeza makao makuu ya Black See Fleet.
Kobazi mbona jazba sana, shusha pumzi huu mchezo hauhitaji hasira.
Mapipa yenu yaliyoshushwa haya hapa, mlikua mkiyasifu eti hayawezi kuzuilika kumbe hakuna kitu. Aiseee kombora kama Costa ya abiria halafu linaishia kujeruhi mcheza rede wa kiyahudi lazima Uwe jazba...
Matusi ya nini Shekhe?!
Bado hujasema.😂😂😂
Halafu kuna gaidi lenu lingine limekatwa kichwa Leo baada ya wale 7 yaliyolipuliwa pale ubalozini
https://twitter.com/Osint613/status/1780223312863367566?t=OjrmPZUtkhsE4r4_YYF6bw&s=19
Angalia unavyopuyanga😂. Umeona wapi Israel imeomba UK ipeleke hizo fighters middle East?! Wamepeleka kwa utashi wao na kwenye hicho ki taarifa chako wamekuelezea, ndo ujue kwamba ni utashi wao hawajaombwa na mtu kama michepuko ya Ayatollah wanavyofanya.
Russia hizi Shaheed si ndo zinashushwa...
Europe wanataka air defense za Israel
EUROPE: When can we get those Israeli air defenses?
"When will we get one too? The best thing we know in the market": In Europe, eyes are gleaming, and interest in Israeli aviation systems is at its peak.
Via @N12News
Ujerumani ilishatoa order kununua...
Mzee mbona unaongea kama umekatwa kichwa!!!
Houthi na Hezbollah walirusha kwa utashi wao lakini US hakutungua kwa utashi wake😂. Israel aliwaomba Hao majamaa watungue hayo makombora?! Si walitungua kwa utashi wao, sasa hasira za nini?!
Halafu nikukumbushe tu hata hayo 7 yaliyopenya mengi...
Kwahiyo wewe kwa akili yako ulidhani Israel ingekaa kizembe baada ya kulipua ule ubalozi na kuua majenerali 7?! Mbona unaongea kama umekatwa kichwa!!!
Tangu Israel ashambulie ule ubalozi missile defense units zote zilikua kwenye high alert huku wakifatilia kwa karibu kila kinachoendelea Iran...
Hasira za nini?!
Mbona husemi Iran alitumia michepuko yake kina Hezbollah na Houthi kurusha makombora Israel.
Imagine unarusha makombora na drones 350 halafu yanapenya 7 sasa hapo una makombora au mapipa. Halafu makombora mapya kabisa 😂😂😂
Makombora yaliyotumika
Kheibar Shekan ballistic...
Tujifariji kwa lipi.
Dunia nzima imeshuhudia jinsi mikombora ilivyokua ikishushwa kama nzige, tena yale makombora mliyokua mkiyasifu kila siku eti hayazuiliki.
Israel iliua majenerali 7 wa ngazi za juu wa iran, je Iran imeua nani Israel?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.