Habar wakuu huku ndani,
Hapa kijijini kwetu Moshi kuna eneo zuri potential kwa ajili ya biashara hasa ya duka la reja reja, hardware au site ya tofali za block wamiliki wa hili eneo ni chama cha ushirika wa kahawa KNCU.
Changamoto iliyopo ni kuwa hamna frame yeyote ya kufanya hiyo biashara ni...
Wakuu natarajia Mwezi June 2024 nichukue mkopo wa 7ml kutoka saccos
Malengo ni kufungua duka ya reja reja hapa kijijini kwetu Moshi Kilimanjaro plus vinywaji vya barid na moto hasa nyakati za ucku
Ntaweka hapo
Gas
Mpesa
Tigo pesa n.k
Profit at least 15000 per day
Shop ntamuweka hapo wife mm...
Habar wakuu
Je ww una mtoto aliyemaliza darasa la Saba 2023
Je mtoto wako wa Kike au wakiume amepata pass au grade C na kuendelea
Je ungependa mwanao asomo shule za HOSTEL za SEREKALI zilipo mkoani KILIMANJARO ?
Wasialiana na mim Ili mwanao aweze kusoma shule za serekali HOSTEL zilizopo...
Wanangu wa boda boda mambo niaje?
Eeee bwana eee nipo na usafiri binafsi almaharufu boda boda Sasa katika pita pita zangu kwenye mitndano nkakuta kampuni inaitwa
JAMBO AFRICA LIMITED
Wao wanakopesha pikipiki,Bajaj na guta Kwa malipo ya miezi 24
Sasa nnachotaka kuwauliza Kuna mtu yeyote...
Habari ndugu wazazi,
Je wewe una mtoto wako aliyemaliza darasa la saba mwaka 2022 na amefaulu kwa wastani wa C,B na A
Na wewe ungependa asome shule za boarding/ hostel za serekali zilizopo mkoani Kilimanjaro na wale wanafunzi wanaosoma shule za serekali tayari nafasi zipo za kuhamia kwa kidato...
Karibuni shule za mkoa wa kilimanjaro kwa ujumla mwaka 2023
Zipo shule za serekali zenye hostel ada 500,000-650,000 per year mfano
Kifaru sec
Lyakrim sec
Makom sec
Mkuu sec
Komakya sec
Namwai sec nk
Shart- mtoto wake awe anasoma shule za serekali tu
Nafasi zipo kwa hostel kidato cha 1 hadi cha 4...
Hello bandugu muda sio mrefu nahisi muda sio mrefu bongo kutakuwa na total lockdown
Hivyo kama unae kingamuzi cha Azam stat times used complete na unauza kwa bei chee mm nipo nakihtaji nipo moshi Kilimanjaro
Nichek kwa 0764616353 kama una m
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtandao fulan wa majuu huko mm ni mwanachama wa kudumu Mara nyingi nachangiaga mada kadha wa kadha japo kizungu changu sio kizuri sana but naeleweka hivyo hivyo kibishi
Last month nkakuta comment ya mzungu fulan kutoka US she like to support me emotionaly nkashidwa kuelewa
Nkaona ngoja...
Habari wapedwa,
Nina nguruwe wangu wa 4 jike 1 dume 1 waliohasiwa 2. Majuzi nilikoboa mahindi ya mchanganyiko wa yaliyooza na mazima sababu nkishidwa kuyachambua kutokana na wingi
Baada ya kukoboa Yale mazima yakawa makande na Yale mabovu yakawa pumba nkapata pumba kama gunia 4 hiv
Nkachukua...
Ten laws of manhood
1. Never sleep with your friends wife no matter the temptation. Someone else is definitely going to sleep with yours too.
2. Never beat your wife and never let the urge of having sex push you to rape. As you dont want your daughter to experience such.
3. Put your self...
Aisee naamini wote mpo njema hapa
Mim ni muajiriwa wa serekali 32 years old Nina miaka 5 kazini Nina familia ya watoto 2 boys na mke(mama wa nyumbani) mmoja pia nimejenga kajumba kangu hapa hapa kijijini kwet 3bedroom pia nimeweka maji na umeme
Nimekaa nkatafakari nkaona kwa mshahara wa...
Habari za humu wakuu
Aisee nahtaji kwenda kusoma nchini Uganda degree yangu ya sports science and physical education sababu za kusoma huko Bongo Hanna hiyo course
Ila naomba mnisaidie naewzaje kufanya admission na kupata admission letter bila mm mwenywe physical kufika huko
Pia vipi kuhusu...
Aiseee vijana mliopo mtaani na Hanna kaz changamkia fursa
Zile ajira zilizotolewa na tume ya taifa ya uchaguzi kwa sasa zimehamishiwa katika ngazi za halmashauri
Hivyo kupata taarifa za ajira hizi fika halmashauru yako au kwa mtendaji wako wa Kara au kijiji huku moshi tayari
Nazi ni kwako tu
Habari zenu wakuu
Leo nimeona niwaletee Uzi huu kwa vijana wanaotaka kwenda kufanya kazi ulaya na kuishi huko has a nchi za EU,Norway,swirzland nk
Njia rahisi na nyepesi ya kwenda ulaya ni hii.
Uwe na rafiki au mpenzi ambaye ni RAIA wa huko au jamaa zako mnaofahamiana ambao wanaishi huko hapo...
Habari wakuuu
Kuna mtoto wangu hapa wa 5yrs nahtaji kumpeleka Kenya akasome kwa level ya primary kwa sababu mm npo mpakan tu huku so naona its better nkampeleka Kenya apate angalau chochote kichwan,
Ninachohtaji kufahamu ni,
1.elimu ya msingi kwa ujumla ikoje?
2.kuhusu ada private\goverment...
Habari zenu wakuu wa humu ndani?
Hope wote mpo njema wengine mliopo wagonjwa mungu awafanyie wepesi
Daaaa leo nimekaa nkaona niwaletee huu Uzi wa jinsi the way watu tunavyorukwa na akili wakati haja kubwa(mavi) au mkojo unapotubana halasi upo kweny access ambayo huwezi au huna ujanj wa...
Habar wapendwa humu JF
Bila kupoteza muda katika pulukushani za maisha kuwa magumu kuna wakati unaona the only solutions ni kuchukua mkopo katika taasisi za fedha mbalimbali ili kufungua ofisi nyingine itakayokuingizia kipato zaidi.
Ila cha kushangaza sasa unakuta tunaangukia pua na maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.