Search results

  1. Author

    Huyu Twiga kwenye nembo ya TANESCO anamaanisha nini?

    Tusaidiane, huu mchoro wa Twiga kwenye nembo ya TANNESCO unamaanisha nini!?
  2. Author

    DOKEZO Hospitali ya K’s Mbeya mna huduma mbovu

    Sina muda wa kueleza sana, nimechoka. Mmeajiri madaktari vijana wanakaa wanapiga story tu vyumbani badala ya kuhudumia wagonjwa. Watu tumekaa zaidi ya lisaa tunasikia wanachekacheka tu ndani na hakuna mgonjwa. Unaingia kwa daktari wamekaa kama watatu mmoja anakuhoji wengine wanakuangalia na...
  3. Author

    Muhimu sana kusoma: Ni mawazo yangu

    Nafikiri: Duniani kuna miungu wengi na kila bara lilikuwa na mungu wao mfano: India wana Mungu wao, Afrika tulikuwa na Mungu wetu (kabla wakoloni hawajatuletea wao), Japan wana Mungu wao, China, Malaysia vivyo hivyo… weka kwa Mabara Kila Mungu anawabariki kila kila bara kwa kadiri wamuombavyo...
  4. Author

    Posta Achaneni na kusafirisha mizigo

    Wadau za muda huu. Sijajua kama wengine mlishawahi kukutana na changamoto niliyokutana nayo ya kusafirisha mizigo kupitia Posta. Nimewapa kazi wanaojiita wataalamu wa Posta wakafika kwangu kufanya tathmini ya vitu. Wakaniambia bei nikaona sio gharama kubwa kwa mizigo niliyo nayo. Malipo...
  5. Author

    Vodacom Internet yenu imekuwa ya ovyo

    Sidhani kama mnatambua au mnapewa mrejesho mnapuuzia ila Vodacom internet yenu imekuwa ya ovyo kupita maelezo. Mnaongeza bei za vifurushi na tozo za miamala tu lakini huduma ya internet itawapotezea wateja wengi kuliko tozo. Niishie hapa maana hii nchi…
  6. Author

    Maana ndani ya picha - njoo tutafute maana

    Kwa mara kadhaa nimekuwa nikikutana na picha au michoro mbalimbali ambayo wakati fulani ni vigumu sana kuelewa maana yake. Karibu na wewe uweke picha ambayo unadhani mpaka leo imekusumbua sana kuielewa au haujaielewa. Wadau tusaidiane kutafuta maana...Mimi nitashare kadhaa kuanza na hii hapa...
  7. Author

    A thought to share

    Mental Revolution [emoji109][emoji109][emoji109] 1 . When a French national cannot speak English, Africans respect him. 2 . When a Spanish man can't speak English, Africans respect him. 3 . When a Chinese man can't speak English, Africans respect him. 4 . When a Russian man can't speak...
  8. Author

    Kwa nini Tanzania Mafuta ni bei kubwa kuliko Rwanda na Zambia ambao wanapitia Tanzania

    Mafuta ya Petroli na Diesel kwa kila lita 1 Nchini Zambia & Rwanda ni 1800-1900 za kitanzania wakati kwa Tanzania ni 2450-2800 TZS kwa kila lita. Ili hali Rwanda & Zambia mafuta yao wanayapitishia hapa Tanzania ? Ipi ni sababu ya msingi kwa upandaji wa bei wa mafuta kwetu?
  9. Author

    Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?

    Habari wadau, Moja kati ya mada muhimu za kuweka mezani siku hizi ni kuhusu uhusiano kati ya watoto na Baba. Imekuwa kawaida kwa mama kupewa kipaumbele kuanzia ngazi ya familia mpaka jamii. Kuna wakati taasisi fulani ilifanya tafiti ndogo ya kuwaambia wanaume waliokuwa wanafanya kazi umo...
  10. Author

    Lyrics Identification Challenge

    Aje wadau, Tuchangamshane kwa kutambua lyrics za nyimbo mbali mbali, andika lyrics wadau wajaribu kuzitambua ni za wimbo gani kwa kutaja jina la wimbo, tukifeli unatusaidia kushare wimbo husika. Let the challenge begin. Me naanza na Lyrics hizi: "Mtoto huyu hatari miondoko, Hana mpinzani kama...
  11. Author

    Kosa gani ukishawahi kufanya ukiwa mtoto ukapata kipondo hutakaa usahau?

    Nakumbuka nikiwa shule ya msingi mimi na rafiki zangu wawili tulikuwa na mazoea ya kuaga asubuhi tunaenda shule kumbe hatuendi. Kuna manati zetu tumezitengeneza kuna mahali huwa tunazificha. Basi tunabeba chumvi, kiberiti na mafuta ya kujipaka toka home tukapitia manati zetu mahali...
  12. Author

    Muhiddin Kimario alijivua Uwaziri na kuungana na wanajeshi kwenda kupigana Vita ya Kagera

    Moja kati ya mashujaa waliokwenda kupigana vita Uganda dhidi ya Idd Amin Dada alikuwa ni Meja Jenerali 'MUHIDDIN KIMARIO'(marehemu kwa sasa). Wakati Idd Amin anavamia eneo la Kagera na kuishusha bendera ya Tanzania na kuipandisha bendera ya Uganda, Muhiddin Kimario alikua waziri wa Mambo ya...
  13. Author

    Kwanini Mama Janeth Magufuli asingesubiri msiba Chato?

    Nimekuwa naangalia msafara na shughuli ya kumuaga Hayati John Pombe Joseph Magufuli tangu Dar es Salaam mpaka leo Dodoma kila sehemu naona mama Janeth analia kwa uchungu sana. Lakini watu wanavyolia wanamuongezea uchungu kwa maeneo yote mwili unapoagwa. Msiba umefika viwanja vya Dar na watu...
  14. Author

    How Ethiopia was not colonised

    The Battle of 𝗔𝗱𝘄𝗮 was the result of Italian encroachments south of their colony of Eritrea on the Red Sea. Though bound by the 𝗧𝗿𝗲𝗮𝘁𝘆 𝗼𝗳 𝗪𝘂𝗰𝗵𝗮𝗹𝗲 (1889) to friendship, the Italians and Ethiopians had different opinions about the nature of that friendship. This was the famous "mistranslation"...
  15. Author

    Je, wajua kuwa matumizi ya Spy App ni kosa Kisheria?

    Kutokana na wimbi kubwa la kutokuaminiana kwenye mahusiano, watu wengi wamekuwa wakifanya juhudi za kutaka kujua kama wenza wao wanajihusisha na mahusiano na watu wengine. Swala hili limeongeza watengenezaji wa app za kuspy simu za watu kutokana na uhitaji kuwa mkubwa. Hii imefanya Application...
  16. Author

    Wale Watumiaji wa Spy app

    Kutokana na wimbi kubwa la kutokuaminiana kwenye mahusiano, watu wengi wamekuwa wakifanya juhudi za kutaka kujua kama wenza wao wanajihusisha na mahusiano na watu wengine. Swala hili limeongeza watengenezaji wa app za kuspy simu za watu kutokana na uhitaji kuwa mkubwa. Hii imefanaya Application...
  17. Author

    Maneno gani ya Kiingereza ulikuja kujua baadaye yanasomwaje?

    Wanaosema hii lugha ilikuja na meli hawakukosea. Kuna maneno ya Kiingereza nilikuwa nayatamka visivyo kwa kipindi kireeefu. Nimekuja gundua baadaye nikajiona kilaza sana. Haya baadhi ya maneno ambayo nilifahamu baadae matamshi yake sahihi: 1. Tier - nilikuwa nafananisha matamshi na Tyre 2...
  18. Author

    Njooni tukumbuke nyakati ngumu tulizowahi pitia

    Simaanishi kwamba ni vizuri kujisifu kwa shida tulizopitia. Ila kuna nyakati tunakumbuka mambo magumu tuliyowahi pitia katika maisha. Kwa Watoto wa kishua sio rahisi kuelewa hili. Ila yapo maisha magumu ambayo watu wanapitia na mengine yameacha makovu kwenye mioyo na miili yao. Katika magumu...
  19. Author

    Kwanini uliacha kwenda kanisani?

    Huwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu). Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo. Nini sababu yako?
  20. Author

    Eleven principles you should understand about politics before you stress yourself

    1. Nobody has your interests. 2. Everybody is chasing their own interests. 3. Dealing with politicians is like sleeping with tigers; you must always have your eyes wide open. 4. In any Political equation, there’s always someone being used. If you can’t find one then it is you. 5. Serving...
Back
Top Bottom