Kuna udhaifu mwingi na uovu mwingi katika watendaji wa baadhi ya taasisi za vyuo kutojitambua na kusababisha migomo na uharibifu wa mali na mazingira!
Weka chuo ama taasisi hapa!
walisema ktk utawala mkuu hapa udom kuwa siku ya ijumaa saa sifa Ilikuw watoe admissions ila cha kushangaza hadi sasa bado hamna kitu.
Ngoj tuangalie jtatu office kuu watupe majibu direct!
Ushauri kama Jina lako lipo ktk hao 153 ktk batch ya 6 funga safar njoo chuoni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.