Nimefuga kuku aina ya kroiler aisee wale ndege wanakula sijapata kuona nashukuru nimeweza kuwatoa wote na sasa nataka nihamie kwenye kuku wa nyama(broiler).
Habari zenu wakuu!?
Naomba kwa aliye morogoro kama anaweza nipatia series na movie kadhaa zakuangalia maana nilipata majanga yakuibiwa device zangu(laptop na external drive:(). natanguliza shukrani.
Habari yako mkuu.
Naomba kufahamu ni tatizo gani linapelekea mpk Vifaranga vyangu vinakuwa vinabakiwa na kinyesi makalioni(yanajishika mengi sio kawaida) na tiba yake ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.