I gave u example. There is no standard on job advert. It all depends on organization policy. Our policy is to discuss salary matters as part of the interview
That is not the purpose of the advert. If you want to know our Customers attraction plan, I can email you our strategic, business and marketing plans....
Carepoint Lodge, ni lodge mpya ya kisasa inayotegemea kuanza biashara mwezi September 2020 maeneo ya Madale, Dar es salaam. Lodge itakuwa na vyumba takribani 15 ikikamilika. Tunahitaji wafanyakazi wafuatao:
1)Mapokezi (Front Office staff,): uwe na uwezo wa kuhudumia vema wateja (customer...
Nashukuru outputs zako. Nitarekebisha tangazo kuweka ujuzi na lugha.. Ni kweli ni consultancy firm.
Kama nilivtosema awali, tulitamani kuwalipa zaidi ila bahati mbaya ndo hivyo tena. Mtu akitumia 5,000 kwa siku nauli na chakula then siku 20 ni laki moja. Si haba unaweza kubakiza kidogo kwenye...
Binafsi naona hii ni fake news kutaka kuhari bujina la air Tanzania. Ni vema kupata uhakika toka kwa abiria au wafanyakazi. Je walio uwanja wa Mwanza wana iona imepaki ndege hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.