Search results

  1. M

    Mengi VS Warioba

    Editorial Comment: Mwananchi Gold: The truth shall set you free
  2. M

    Movement: Tunataka Katiba Mpya Tanzania

    Mwanakijiji Nimekupata mkuu. Hayo uliyoelekeza ndio lengo kufikia ingawa sidhani kama litafikiwa katika karne hii kwa nchi kama ya Tanzania. Bunge letu limefeli kutoa changamoto ya kweli. Waandishi wa habari nao ndio hivyo tu. Vyama vya siasa navyo vinachechemea tu. Siasa za Tanzania bwana...
  3. M

    Movement: Tunataka Katiba Mpya Tanzania

    Wanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na Bunge? Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo serikali haitaki ijadiliwe sisi kama wananchi ambao tumewachagua wabunge hawa tunapenda kuonyesha...
  4. M

    Rais Kikwete na safari za nje

    Pamoja na kufurahi kumuona Rais wetu akisafiri katika mikutano ya kimataifa, nimefuatilia na kuona kuwa rais wetu anasafiri sana na kuhudhuria mikutano mingine ambayo ingeweza kuwakilishwa na makamu wake, waziri mkuu au mawaziri maalum wa wizara husika. Mfano mkutano wa juzi wa Afrika Kusini...
  5. M

    Bunge limetukanwa - Hakuna anayepiga kelele?!

    Mwanakijiji. Nimekupata. Maana yangu ilikuwa sauti yako issishie kwenye internet kama kweli una nia ya kufanya kitu. Zingatia ushauri niliokupa.
  6. M

    Ole wenu CHADEMA!

    Mheshimmwa Mbowe na wapinzani wote. Ushauri wangu kwa sasa ni kuwa acheni kuota kwenda ikulu kwa sasa. Wekeni mikakati ya kupata wabunge wengi wazuri baada ya miaka 5 ijayo, ili tuwe na bunge makini na lenye changamoto. Hiyo ndiyo iwe vision yenu. Acheni kuota big dream before a small dream...
  7. M

    Bunge limetukanwa - Hakuna anayepiga kelele?!

    Mwanakijiji: Najua una uchungu sana na nchi yako. Hata hivyo nakupa pole maana Tanzania haiwezi kuendelea hata siku moja. Maisha ya neema yatakuwa kwenu wachache ambao mko nje ya nchi, viongozi na matajiri wa kigeni. Sisi wakulima wa vijijini haiwezekani kuendelea hata kidogo. Hotuba ya...
  8. M

    Bajeti 2006/07 ni ya Matumaini?

    Mwanakijiji: Nimekusikia kwenye podcast yako na mapendekezo yako ya bajeti. Nakupongeza kwa ushauri wako, ila ushauri huo ungetoa kabla ya bajeti ingefaa zaidi. Nimependa zaidi suala la kilimo, na kama unaweza kuandaa hotuba yako juu ya mapinduzi ya kilimo Tanzania itakuwa safi. Bado...
  9. M

    Kikwete: Mapinduzi ya kilimo ni muhimu

    Wakati Mheshimiwa Mkapa anamaliza uongozi wake alikiri kuwa eneo mojawapo ambalo halikupewa umuhimu katika uongozi wake ni KILIMO. Kutokana na jinsi Mheshimiwa Raisi Kikwete alivyoanza katika kasi yake bado sijaona kama kweli suala la kilimo limo sana katika ajenda. Hivyo napenda kutoa ushauri...
  10. M

    Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

    Waandishi wa habari mbona hamtaki kuwataja hao ambao tayari wamekwishashtakiwa na majalada yao yako kwa DPP?. Tafadhali waandishi wa kitanzania jitahidini kufanya intensive investigative journalism ili watu wapate habari za uhakika. Mfano suala la NSSF sijaona kama kuna mwandishi yeyote ambaye...
  11. M

    Ni kweli viongozi wetu wengi ni wagonjwa?

    Nyamglu: Asante kwa elimu uliyotoa kuhusu suala hili la UKIMWI. NI kweli Africa tusipoangalia population ya watu na hasa nguvu kazi katika ujenzi wa taifa itapungua sana. Viongozi wa dini, mawaziri ma mheshimiwa Raisi Kikwete please muwe serious na jambo hili.
Back
Top Bottom