Leo Mwenyakiti wa Chadema kata ya Themi Arusha Arnold Ringo Wananchi wamemsimamisha kwenye matangazo ya kampeni na kumwambia hakuna haja ya kampeni kwani wananchi wa Arusha wanajua Rais ni Lowassa, mbunge ni Lema na Diwani wa Themi ni Venance Kinabo
Diwani wa kata ya Nduruma Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Herri Laizer (Ccm), amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi wake wakimtuhumu kugeuza mkutano kuwa uwanja wa siasa badala ya kujadili kero zinazowakabili. Mkutano huo ulilenga kujadili pamoja na mambo mengine kukithiri kwa migogoro ya...
Nilikua nasoma kitabu kinachoitwa KESI ZA MWALIMU NYERERE 1958. Baada ya kusoma na kisha kusononeshwa kwa kiwango kikubwa na yaliyo mpata mwalimu pindi anapigania uhuru wa Tanganyika mfano pale alipokuwa aki kufunguliwa kesi na mashtaka ya kubuni na serikali ya kikoloni juu ya harakati...
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo ( chadema ) mh .free man mbowe kwa kuchaguliwa tena kukiongoza chama kwa kipindi kingine cha miaka mitano .
Kuchaguliwa kwako kunatokana na imani waliokuwa nayo. Wanachama wa chadema kwani juhudi zako...
Wanafunzi wa Shule mbalimbali kwenye Manispaa ya Arusha mjini wametolewa kwenye vipindi vyao vya masomo kuja kushanga mwenge jee ndio kuwafundisha au kuwateketeza kielimu?
Na imefuatiwa nakukosa watu kwenye mbio za mwenge jijini Arusha
Safari ya mwisho ya katibu mwenezi wetu wa chadema kata ya kimandolu robat bifoo umetuachia pengo kubwa sana ulikuwa jemedari ulipigania haki tuta yaenzi yale mema uliyo acha bifoo tumekupenda lakini Mungu amekupenda zaidi Bifoo kaka yetu rafiki yetu naandika nikiwa natoa machozi ila...
live !kutoka ukumbi wa Mcc uchaguzi wa Chama wilaya Musoma mjini. Uchaguzi unaendelea vizuri kabisa Mpaka sasa hivi, Wajumbe waliomaliza uongozi wao wakisema machache na wajumbe kwa kweli tunawashukuru kuwa kazi kubwa waliofanya kuwa miaka 4. Nitaendelea kuwaletea updates
kutoka Butiama kwa baba wa taifa mkutano wa Chadema ukiendelea viongozi mbali mbali wakiwa jukuwana kuongea na wanainchi Chadema mwendo ni ule ule hakuna kulala mpaka. Mod Nakuomba Usiunge Habari hii na Habari nyingine
Siasa zina mambo. Wanasiasa wako katika makundi matatu. Wafuasi wa wanasiasa pia wako makundi matatu.
(1). Wanasiasa makini. Hawa ni wale wenye kutafakari jambo kwa kina kabla ya kuamua kuliunga mkono au kulipinga kwa kuzingatia maslahi mapana ya taifa:
(2). Wanasiasa msimamo. Hawa ni...
Wana CCM ni watanzania wa ajabu sana. kesho katika ukumbi wa midtown uliopo hapa Makambako, wameaandaa sherehe ya kumpongeza mh.Mbunge Deo Kasenyenda sanga(jah people) eti kwa kutimiza ahadi zake alizoziahidi kwenye uchaguzi wa 2010, lakini ukweli wake ni huu hapa
1. Wakati anaanza ubunge...
sasa wananchi wameanza kuelewa na kujua kuwa chama kipya chake ACT wanatumiwa na ccm,
hii ni baada ya chama hicho kipya kufanya mikutano ya hadhara kadhaa na katika mikutano hiyo viongozi wa chama hicho sera na mada zao mikutano yao ni kuiongelea CHADEMA kitendo ambacho kilifanya wananchi...
Kipindi cha hayati Mwalimu Julius K. Nyerere na serikali yake ya Chama cha Mapinduzi CCM matajiri walikuwa wanaiogopa serikali, Hutakaa uone tajiri anaenda kujipendekeza kupiga picha na Rais.
Hutakaa uone mtu analeta maigizo na mizaha kama tunayoiona hii yakuomba escort hata upelekwe beach tu...
Siku za hivi karibuni mhadhiri mwandamizi chuo kikuu cha Dar es salaam Dk Kitila Mkumbo amekuwa wakala wa ccm na watawala. Ameonesha kuwa ana ndimi mbili zinazokinzana ama kwa wazi wazi ama kwa kificho totoro.
Katika ndimi hizi mbili,moja ni ile inayotetea, kulinda na kusafisha chama cha...
Viongozi 16 wa mashina na matawi ya CCM jimbo la Ukonga wamejiengua kwenye chama hicho na kujiunga na CHADEMA jana Jumapili kwenye mkutano wa hadhara ulihutubiwa na Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi.
Viongozi hao wamesema wameamua kujiondoa kwenye chama hicho kwa kuwa ndani ya CCM...
Kikundi cha Vijana wa Chadema waliokuwa wamerubuniwa na Akina Mchange wamepachimba kwa kumtaka Mchange awalipe Pesa yao waliyoahidiwa kupewa baada ya kuisaliti Chadema. Taarifa zinawataja vijana hao kwa majina kama ifuatavyo: i. Jorum Membe huyu ni Katibu wa Chadema Wilaya ya Nachingwea, ii...
CHADEMA kata ya Ntwike wamefanya uchaguzi wa viongozi wao jana jioni.Mkutano wa uchaguzi ulisimamiwa na Joseph Alfayo ambaye ni Katibu Wilaya,RAYMAN MINJA[katibu bavicha wilaya] na PETER MALUME [katibu mwenezi].
Viongozi wapya kata ya Ntwile ni Mwenyekiti Robert Nsonda,Katibu Charles...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.