Wadau msibishe. Wanyama wana uwezo wa kung'amua (detect) tetemeko muda mfupi kabla halijatokea. Wakiwepo eneo utaona wanaanza kukosa utulivu n.k
Kwa ambao hamfahamu, hadi hivi leo hakuna njia yoyote ya kisayansi inayoweza kutabiri uwepo na ukubwa wa tetemeko la ardhi. Ni hadi litokee ndipo...
Juzi hiyo hiyo pia vyombo vya habari vililiripoti gari ya mheshimiwa DC wa chamwino iliigonga treni eneo la Iyumbu mkoani Dodoma na kusababisha majeruhi. Kimsingi nadhani wakati Sheria ikitungwa, usafiri wa Treni ulikuwa ni moja ya tegemeo kuu kwa maeneo mengi ya nchi yetu na pia idadi ya...
Hii ni kweli kwa utawala wowote ulio wa HAKI.
Bali ulimwenguni zipo tawala nyingi za MABAVU na zile zilizotokana na FURSA/UPENDELEO/KURITHISHANA. Kwa tawala za jinsi hii hata kama watawaliwa wana akili kuzidi watawala, hawana budi KUUFYATA kwa kuhofia madhara..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.