Bado mpo enzi za kibanga kampiga mkoloni? Bado mnaota kura kwa njia za kikoloni! Je wanairamba wanamiliki nini? Au amewafanya wapiga kura wake kuwa manamba?
Bado siamini kama mchumi inaweza kufukiri kwenda kuleta walowezi kuja kwanyonyo wanairamba....kwanini usifikirie namna ya wanairamba...
Serikali haina pesa...ila waiopewa dhamana ya serikali wana zidi kuyanufaisha mahitaji yao.....their time is not far ,,,wataumbuka kama kufanya deal na mhindi/mthungu wakati ukiwa na dhamana ya cheo... 300blns,1trilion....nimeipenda ile ya PB leo " Acha zije zitarudi tena huko huko"
Naamin kura za walimu hazimsadii kitu kwa ssm!! ila zinamsaada kwa upinzani. ssm inambo mambo ambayo ni vigumu kufikiria kwani wanafikiri urahisi wa kutoa rushwa kwa hao wanakijiji kwani wafanyakazi walishawachoka kuwaunzia haki zao!!!
Mfa maji hachi kutapata!!!
Omari Babati Mjini???
Ila Bado siunajua tena Mzee wa fadhila!! anaweza kuwarudisha wengi mjengoni akidhani anatoafadhila kumbe! anawapa upinzani Majimbo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.