Itakichukua miaka zaidi ya 7 kuifikia degree kuanzia hapo ulipo Tena na zaidi katiya Saba Hadi tisa. Unaanza ufundi level 1-3 unapata access ya kwenda diploma miaka 3, thn degree miaka 3....
Inategemea na ukanda unaolima una mvua kiasi gani. Kama unalima maeneo yenye mvua nyingi nashauri upande mbegu ya seedco SC 719 (chapa tembo). Hii ukihudumia vizuri hukosi gunia 30 za debe 6 kwa hekari moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.