Ha ha ha umenikumbusha alivyokua anauza nyapu kama karanga hapa UK.
Sasa aendelee na upuuzi wake kama mbwa koko ,ntamwanika yote hapa bila kupunguza chochote,kama anashindwa kuona mazuri ya wenzake,atafute mabaya yakwake ayalete hapa,
Namuhakikishia akishindwa kuyaleta hapa ntamuumbua.
Wewe Msamajiukweli tunakujua ni mume wa rose kiondo.muulize veepe yule dogo wa colindale kuachana nae.?sio mnakuja insta kutaka kuharibu familia ya marwa wakati zakwenu zimewashinda.Dogo Pole huyo mama ana moto longtime kama uliingia kavu utaisoma number.kumbe uko ubalozini sectetary mzima...
Jestina tambua tunakufahamu sana ,umeoza uchafu ,na unachofanya gizani tambua mwangani tunaona,
Hii post ya Jana usiku umewaambia admin watoe ,uozo wako unaoufanya huna pa kukwepea ninakumulika na nitafichua ,
Kumekua na vithread uchwara vinafunguliwa kila siku kumchafua ndugu yetu Balozi...
Ina mana hata kusoma ujui?
Lazma akumbushe watu wajibu wao,we umekalia majungu tu huna mpya ,wivu,tamaa vinakusumbua,punguza umbeya Wa kike,Marwa tunamjua ni mpiga kazi huwezi mkatisha tamaa kwa upuuzi wako,
Jipu LA kwanza ni wewe inabidi uchunguzwe pamoja na waliokutuma kuchafua MTU humu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.